2021 AFCON Special Thread

Ndo maana wengine tukaipa Tunisia mapema tu kuwa lazima apite hatua hii,hatua hizi za kutoana kwa hakika kabisa wenzetu wa kaskazini wanajua kuzicheza vizuri huwa siyo wasahaulifu kabisa Kama sisi...
Tunisia 🇹🇳wanagusa mpira wale jamaa. Wanatumia nguvu na akili kukaba. Ninawaona wakisumbua kwenye hatua zijazo ingawa lolote linaweza kutokea
 
Cameroon kafanyia wenzake figisu kwa mgongo wa corona.Huu uenyeji unamfanya awe na mbinu nyingi nje ya uwanja.maana haiwezekani comoro kacheza vizuri makundi sasa hivi ndo linaibuka la corona.ila ngoja tuone itakavyokua.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hata ikuwekwa game saizi Aboubakar vs Peter Banda naamini kabisa Aboubakar nje. Leo ndio safina ya Cameroon inazama, hakuna timu pale kabda ibebwe kwa mbeleko.
 
Naombeni Update maana Cable Songea mda wa game unaanza tu wamebadili chaneli ya Canal inayoonyesha game za AfCON wameweka RMC Tv inaonyesha marudio ya Man United vs West Ham.
 
Back
Top Bottom