DreezyD98
JF-Expert Member
- Nov 6, 2020
- 1,503
- 2,662
Tunisia 🇹🇳wanagusa mpira wale jamaa. Wanatumia nguvu na akili kukaba. Ninawaona wakisumbua kwenye hatua zijazo ingawa lolote linaweza kutokeaNdo maana wengine tukaipa Tunisia mapema tu kuwa lazima apite hatua hii,hatua hizi za kutoana kwa hakika kabisa wenzetu wa kaskazini wanajua kuzicheza vizuri huwa siyo wasahaulifu kabisa Kama sisi...