2020 wapinzani wasusie uchaguzi mkuu

2020 wapinzani wasusie uchaguzi mkuu

Habarini wanajamvi...

Kwa hali ilivyo sasa 2020 wapinzani wasusie uchuguzi maana hukuna mgombea wao atakayetangazwa kuwa mshindi hata kama ameshinda kihalali...

Hapo ndo patakapoanza vurugu na watu wengi kuumizwa na wengine kuuawa kabisa...

Nawasilisha...
Nawaza tu kwa mambo yanavyokwenda hata wakisusia haitakuwa na madhara maana watabakia wapinzani wawili tu 2020
 
We unavyofikiri au unavyoona uchaguzi unavyoendeshwa kihuni, mwaka 2020 Kuna mkurugenz anaweza kumtangaza hata diwani mmoja wa chadema....maana Ni afadhali iwe Kama zanzbr muwaache ccm wenyewe maana hata wakishiriki hakuna hata diwani acha mbunge wa upinzani atakayetangazwa kashinda....

Maalim mwenyewe sasa hivi anajutia kususia uchaguzi wa 2015. Hata jimbo moja tu huko Zanzibar likiwa wazi anatia timu kwa nguvu kubwa!
 
Maalim mwenyewe sasa hivi anajutia kususia uchaguzi wa 2015. Hata jimbo moja tu huko Zanzibar likiwa wazi anatia timu kwa nguvu kubwa!
Wapi alipotia mguu, Jimbo moja tu Zanzibar lilirudia uchaguzi na akasimama Mwalimu kutokea chadema kwa niaba ya ukawa, usijidhalilishe mkuu, hiyo form ya mgombea itasainiwa na Mwenyekiti yupi au katibu mkuu yupi....ukiwa mnafiki tunza kumbukumbu....
 
Wapi alipotia mguu, Jimbo moja tu Zanzibar lilirudia uchaguzi na akasimama Mwalimu kutokea chadema kwa niaba ya ukawa, usijidhalilishe mkuu, hiyo form ya mgombea itasainiwa na Mwenyekiti yupi au katibu mkuu yupi....ukiwa mnafiki tunza kumbukumbu....

Unajua nyuma ya UKAWA wapo kina nani na nani walisusia uchaguzi wa marudio Zanzibar mwaka 2015?
 
NCCR, CUF na CHADEMA wakigoma Mrema na Cheyo watagombea km wapinzani
 
Mbona hata huelewi Nini tunachoongelea, ushaangukia 2015 Tena eeeh[emoji125] endelea kupiga makofi lumumba....

Utter nonsense! Sio kila mtu anayekuwa na mtazamo tofauti na wa kwako ni shabiki wa chama cha siasa au mwanachama wa CCM for that matter.

Kama ungeelewa kilichowafanya UKAWA wakasusia uchaguzi wa marudio Zanzibar 2015, basi ungejua kwanini hata sasa hivi ni upumbavu kwa UKAWA kutia timu kwenye uchaguzi wowote mdogo Zanzibar. Kitu gani kimebadilika tangu walivyosusia uchaguzi 2015?
 
Back
Top Bottom