ARSENALY2018
Member
- Aug 11, 2018
- 63
- 127
Yani inakera sana hasa ninapokumbuka kuwa uchàguzi unafanywa kwa KODI ZETU ambazo zingesaidia sekta nyingine za kimaendeleo.Kutokana na yanayoendelea sasa, wapinzani wasishiriki tu chaguzi yoyote inayotokea yani mbunge au diwani akijiuzulu kumuunga mkono rais apitishwe tu direct hakuna haja ya uchaguzi pia hata 2020 wapinzani wote wasishiriki uchaguzi wadai tume huru ya uchaguzi au wawe na solution, yani HELA ZA KURUDIA UCHAGUZI ZIPO NA KUNUNUA NDEGE ILA KUWALIPA WAFANYAKAZI WALIOPANDISHWA VYEO NA WANAODAI AREAZ HAKUNA, haya ni maajabu ya tanzania tu
Ila yana mwisho haya hakuna aliye mkuu kuliko MUNGU alikuwepo farao na wafalme wengine jeuri mwisho wao uliishia wapi?
"MUNGU AKAUFANYA MGUMU MOYO WA FARAO"