2020 wapinzani wasusie uchaguzi mkuu

2020 wapinzani wasusie uchaguzi mkuu

huko kwenu vipi

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2015
Posts
1,540
Reaction score
1,475
Habarini wanajamvi...

Kwa hali ilivyo sasa 2020 wapinzani wasusie uchuguzi maana hukuna mgombea wao atakayetangazwa kuwa mshindi hata kama ameshinda kihalali...

Hapo ndo patakapoanza vurugu na watu wengi kuumizwa na wengine kuuawa kabisa...

Nawasilisha...
 
Habarin wanajamvi.....

Kwa hali ilivyo sasa 2020 wapinzani wasusie uchuguzi maana hukuna mgombea wao atakayetangazwa kuwa mshindi hata kama ameshinda kihalali........

Hapo ndo patakapoanza vurugu na watu wengi kuumizwa ,na wengine kuuawa kabisa....

Nawasilisha.....
Bado wananafasi ya kuleta upinzani mkubwa tu kwa ccm; hususani katika ubunge na madiwani, ila urais wasahau. Ni maoni yangu tu, matusi sio kitu chema.
 
Habarin wanajamvi.....

Kwa hali ilivyo sasa 2020 wapinzani wasusie uchuguzi maana hukuna mgombea wao atakayetangazwa kuwa mshindi hata kama ameshinda kihalali........

Hapo ndo patakapoanza vurugu na watu wengi kuumizwa ,na wengine kuuawa kabisa....

Nawasilisha.....
Na ruzuku je?!!
 
Unazungumzia Upinzani au Chadema? Hilo haliwezi tokea chini ya DJ kwakua anajua akisusia uchaguzi maanayake anaua mradi wa familia ambao ni Ruzuku.
DJ najua ata akipoteza baadhi ya majimbo lakini yapo atakayo pata. Hii ni fursa ya kuhonga nafasi kwa anayetaka kugombea au kuwatafuna wale wanaotaka viti maalumu. Hayo ya kususa waachiwe CUF ya Maalimu, Chadema chini ya Mwenyekiti DJ hilo halito tokea kamwe.
 
Bado wananafasi ya kuleta upinzani mkubwa tu kwa ccm; hususani katika ubunge na madiwani, ila urais wasahau. Ni maoni yangu tu, matusi sio kitu chema.
Mkuu Siasa ni Sayansi Uchaguzi wa 2020/unaweza kuwa na maajabu kuliko unavyodhani,maana ndani ya CCM kuna mipasuko mikubwa iliyopewa jina la Kambi ya Lowassa na wamepigwa chini kwenye Uchaguzi wa ndani ya Chama chao kuanzia ngazi ya Wilaya na Mkoa.
 
Habarin wanajamvi.....

Kwa hali ilivyo sasa 2020 wapinzani wasusie uchuguzi maana hukuna mgombea wao atakayetangazwa kuwa mshindi hata kama ameshinda kihalali........

Hapo ndo patakapoanza vurugu na watu wengi kuumizwa ,na wengine kuuawa kabisa....

Nawasilisha.....
Hasusii mtu Uchaguzi tunashiriki na wengine tunaamini 2020 tunapata Ubunge asubuhi na mapema!
 
Kususia uchaguzi ni kuusaliti uma. Watanzania wana changamoto nyingi na wameshindwa pa kuzisemea, uchaguzi ni mahali pa kutolea sauti. Inawezekana kukawa na jitihada za kuvuruga uchaguzi kwa maslahi ya chama furani, lakini hisia weka kando ili vyama vishiriki. Lakini pia hata vyama vikubwa vikisusia kuna vyama washirika wa CCM vitashiriki ili ionekane upinzani umeshiriki
 
Habarin wanajamvi.....

Kwa hali ilivyo sasa 2020 wapinzani wasusie uchuguzi maana hukuna mgombea wao atakayetangazwa kuwa mshindi hata kama ameshinda kihalali........

Hapo ndo patakapoanza vurugu na watu wengi kuumizwa ,na wengine kuuawa kabisa....

Nawasilisha.....
Kwani upinzani bado upo? Navyoona mimi watakuwa wamejiepusha na aibu upinzani umeshazikwa rasmi
 
Kwani upinzani bado upo? Navyoona mimi watakuwa wamejiepusha na aibu upinzani umeshazikwa rasmi
Habarin wanajamvi.....

Kwa hali ilivyo sasa 2020 wapinzani wasusie uchuguzi maana hukuna mgombea wao atakayetangazwa kuwa mshindi hata kama ameshinda kihalali........

Hapo ndo patakapoanza vurugu na watu wengi kuumizwa ,na wengine kuuawa kabisa....

Nawasilisha.....

Upinzani ni imani na tabia ya asili ya binadamu. Haiwezi kufa.
 
Mkuu Siasa ni Sayansi Uchaguzi wa 2020/unaweza kuwa na maajabu kuliko unavyodhani,maana ndani ya CCM kuna mipasuko mikubwa iliyopewa jina la Kambi ya Lowassa na wamepigwa chini kwenye Uchaguzi wa ndani ya Chama chao kuanzia ngazi ya Wilaya na Mkoa.
Kwa hiyo hao ndo mnategemea watawasaidia?
 
Habarini wanajamvi...

Kwa hali ilivyo sasa 2020 wapinzani wasusie uchuguzi maana hukuna mgombea wao atakayetangazwa kuwa mshindi hata kama ameshinda kihalali...

Hapo ndo patakapoanza vurugu na watu wengi kuumizwa na wengine kuuawa kabisa...

Nawasilisha...
kwahiyo wewe unataka wengi waumizwe na wengine wauwawe kabisa???
 
Kutokana na yanayoendelea sasa, wapinzani wasishiriki tu chaguzi yoyote inayotokea yani mbunge au diwani akijiuzulu kumuunga mkono rais apitishwe tu direct hakuna haja ya uchaguzi pia hata 2020 wapinzani wote wasishiriki uchaguzi wadai tume huru ya uchaguzi au wawe na solution, yani HELA ZA KURUDIA UCHAGUZI ZIPO NA KUNUNUA NDEGE ILA KUWALIPA WAFANYAKAZI WALIOPANDISHWA VYEO NA WANAODAI AREAZ HAKUNA, haya ni maajabu ya tanzania tu
Ila yana mwisho haya hakuna aliye mkuu kuliko MUNGU alikuwepo farao na wafalme wengine jeuri mwisho wao uliishia wapi?
 
Uahauri wa bure kwako mkuu. Kama hauna moyo mgumu na wauvumilivu usifatilie mambo ya siasa. Siasa ina pande mbili. Ikiwaudhi hawa ina wafurahisha wale, and its vice versa.
 
Hili ndyo jambo la mcngi, linalo takiwa kupiganiwa kwa sasa kama kweli wako serious.
 
Kutokana na yanayoendelea sasa, wapinzani wasishiriki tu chaguzi yoyote inayotokea yani mbunge au diwani akijiuzulu kumuunga mkono rais apitishwe tu direct hakuna haja ya uchaguzi pia hata 2020 wapinzani wote wasishiriki uchaguzi wadai tume huru ya uchaguzi au wawe na solution, yani HELA ZA KURUDIA UCHAGUZI ZIPO NA KUNUNUA NDEGE ILA KUWALIPA WAFANYAKAZI WALIOPANDISHWA VYEO NA WANAODAI AREAZ HAKUNA, haya ni maajabu ya tanzania tu
Ila yana mwisho haya hakuna aliye mkuu kuliko MUNGU alikuwepo farao na wafalme wengine jeuri mwisho wao uliishia wapi?
Na Kama chadema 2020 akishiriki uchaguzi kwa katiba hii, ntawaona Ni washenzi na mamluki wasiostahili kupewa hata udiwani...huu sio uchaguzi Ni uhuni...
 
Uahauri wa bure kwako mkuu. Kama hauna moyo mgumu na wauvumilivu usifatilie mambo ya siasa. Siasa ina pande mbili. Ikiwaudhi hawa ina wafurahisha wale, and its vice versa.
Upo serious kweli?
Utaachaje kufuatilia mambo ya jamii yako?
Au hizo pesa za kirudia uchaguzi ni za nani?
 
Hata Mimi nashauri wawaache wafanye wanavyotaka. Huwezi ukawa unahubiri democracy wakati huohuo unafanya kinyume
 
Back
Top Bottom