huko kwenu vipi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 1,540
- 1,475
Habarini wanajamvi...
Kwa hali ilivyo sasa 2020 wapinzani wasusie uchuguzi maana hukuna mgombea wao atakayetangazwa kuwa mshindi hata kama ameshinda kihalali...
Hapo ndo patakapoanza vurugu na watu wengi kuumizwa na wengine kuuawa kabisa...
Nawasilisha...
Kwa hali ilivyo sasa 2020 wapinzani wasusie uchuguzi maana hukuna mgombea wao atakayetangazwa kuwa mshindi hata kama ameshinda kihalali...
Hapo ndo patakapoanza vurugu na watu wengi kuumizwa na wengine kuuawa kabisa...
Nawasilisha...