2020: CCM tumteue Mama Samia kugombea Urais

2020: CCM tumteue Mama Samia kugombea Urais

Habari za jioni wakuu..

Kama kichwa cha habari kinavyojionesha mimi naona hii miaka mitano imemtosha kabisa raisi wetu Mh.JOHN POMBE MAGUFULI na ningependa MAMA SAMIA SULUHU apokee kijiti cha kuongoza hili taifa.
Maana nimeangalia hali inayoenda nikaona tunahitaji IDEOLOGY mpya ya kuongoza hii nchi na mtu anayeweza kutuvusha ni MAMA SAMIA SULUHU.

Rais Magufuli amejitahidi kwa kiwango chake na inatosha hapa alipofikia..tunamshukuru kwa Uongozi wake.

Ni maoni yangu tu. Siku njema.
IDEOLOGY mpya tayari. Tunaombe mrejesho mtaala wa idioloji
 
Nina sababu kuu za kwanini mama yetu Suluhu anafaa kumrithi Magufuli,
1. Ni zamu ya kina mama kupata kiongozi,
2. Zanzibar effect, ni miaka sasa hatuna rais wa JMT kutokea zZanzibar
3. Ni muislamu, japo haijaandikwa popote kwamba akitoka mkristo aje muislamu, lakin inapendeza tukipikezana hivo
4. Ana hekima na Busara, akiwa rais haki ya Mungu Tanzania tutakula maisha mema,
5. Hana kariba ya udikteta ,anawasikiliza wananchi, vema sana
6. Ni mpole n.a. mwadilifu, nadhani baada ya Mkali tupate mpole,
Nyerere mkali, Mwinyi Mpole, Mkapa mkali, Kikwete mpole, Magufuli mkali, Samia mpole

Britannica
Uzuri wa Internet huwa haisahau au kujisahaurisha.
 
Nina sababu kuu za kwanini mama yetu Suluhu anafaa kumrithi Magufuli,
1. Ni zamu ya kina mama kupata kiongozi,
2. Zanzibar effect, ni miaka sasa hatuna rais wa JMT kutokea zZanzibar
3. Ni muislamu, japo haijaandikwa popote kwamba akitoka mkristo aje muislamu, lakin inapendeza tukipikezana hivo
4. Ana hekima na Busara, akiwa rais haki ya Mungu Tanzania tutakula maisha mema,
5. Hana kariba ya udikteta ,anawasikiliza wananchi, vema sana
6. Ni mpole n.a. mwadilifu, nadhani baada ya Mkali tupate mpole,
Nyerere mkali, Mwinyi Mpole, Mkapa mkali, Kikwete mpole, Magufuli mkali, Samia mpole

Britannica
Mmm
 
Habari za jioni wakuu..

Kama kichwa cha habari kinavyojionesha mimi naona hii miaka mitano imemtosha kabisa raisi wetu Mh.JOHN POMBE MAGUFULI na ningependa MAMA SAMIA SULUHU apokee kijiti cha kuongoza hili taifa.
Maana nimeangalia hali inayoenda nikaona tunahitaji IDEOLOGY mpya ya kuongoza hii nchi na mtu anayeweza kutuvusha ni MAMA SAMIA SULUHU.

Rais Magufuli amejitahidi kwa kiwango chake na inatosha hapa alipofikia..tunamshukuru kwa Uongozi wake.

Ni maoni yangu tu. Siku njema.
Nimeangalia tena huu uzi kumbe nili-Like?

Nimeumia sana
 
Habari za jioni wakuu..

Kama kichwa cha habari kinavyojionesha mimi naona hii miaka mitano imemtosha kabisa raisi wetu Mh.JOHN POMBE MAGUFULI na ningependa MAMA SAMIA SULUHU apokee kijiti cha kuongoza hili taifa.
Maana nimeangalia hali inayoenda nikaona tunahitaji IDEOLOGY mpya ya kuongoza hii nchi na mtu anayeweza kutuvusha ni MAMA SAMIA SULUHU.

Rais Magufuli amejitahidi kwa kiwango chake na inatosha hapa alipofikia..tunamshukuru kwa Uongozi wake.

Ni maoni yangu tu. Siku njema.
Duh huu ndio nauona leo, hongera sana uliona mbali
P

P
 
3. Huyo Mama unayesema afadhali yeye kuliko Magufuli, na yeye anajionesha u Magufuli wake kwa kauli zake kama hizi.

Hizi ni kauli za kijingajinga na ki Magufuli Magufuli, hata sielewi kwa nini unamuona huyu Mama ana afadhali yoyote.
Duh... !
P
 
Back
Top Bottom