Nina sababu kuu za kwanini mama yetu Suluhu anafaa kumrithi Magufuli,
1. Ni zamu ya kina mama kupata kiongozi,
2. Zanzibar effect, ni miaka sasa hatuna rais wa JMT kutokea zZanzibar
3. Ni muislamu, japo haijaandikwa popote kwamba akitoka mkristo aje muislamu, lakin inapendeza tukipikezana hivo
4. Ana hekima na Busara, akiwa rais haki ya Mungu Tanzania tutakula maisha mema,
5. Hana kariba ya udikteta ,anawasikiliza wananchi, vema sana
6. Ni mpole n.a. mwadilifu, nadhani baada ya Mkali tupate mpole,
Nyerere mkali, Mwinyi Mpole, Mkapa mkali, Kikwete mpole, Magufuli mkali, Samia mpole
Britannica