Ugiligili
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 3,023
- 4,072
Habari za jioni wakuu..
Kama kichwa cha habari kinavyojionesha mimi naona hii miaka mitano imemtosha kabisa raisi wetu Mh.JOHN POMBE MAGUFULI na ningependa MAMA SAMIA SULUHU apokee kijiti cha kuongoza hili taifa.
Maana nimeangalia hali inayoenda nikaona tunahitaji IDEOLOGY mpya ya kuongoza hii nchi na mtu anayeweza kutuvusha ni MAMA SAMIA SULUHU.
Rais Magufuli amejitahidi kwa kiwango chake na inatosha hapa alipofikia..tunamshukuru kwa Uongozi wake.
Ni maoni yangu tu. Siku njema.
Kama kichwa cha habari kinavyojionesha mimi naona hii miaka mitano imemtosha kabisa raisi wetu Mh.JOHN POMBE MAGUFULI na ningependa MAMA SAMIA SULUHU apokee kijiti cha kuongoza hili taifa.
Maana nimeangalia hali inayoenda nikaona tunahitaji IDEOLOGY mpya ya kuongoza hii nchi na mtu anayeweza kutuvusha ni MAMA SAMIA SULUHU.
Rais Magufuli amejitahidi kwa kiwango chake na inatosha hapa alipofikia..tunamshukuru kwa Uongozi wake.
Ni maoni yangu tu. Siku njema.