2020: CCM tumteue Mama Samia kugombea Urais

2020: CCM tumteue Mama Samia kugombea Urais

Ugiligili

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2014
Posts
3,023
Reaction score
4,072
Habari za jioni wakuu..

Kama kichwa cha habari kinavyojionesha mimi naona hii miaka mitano imemtosha kabisa raisi wetu Mh.JOHN POMBE MAGUFULI na ningependa MAMA SAMIA SULUHU apokee kijiti cha kuongoza hili taifa.
Maana nimeangalia hali inayoenda nikaona tunahitaji IDEOLOGY mpya ya kuongoza hii nchi na mtu anayeweza kutuvusha ni MAMA SAMIA SULUHU.

Rais Magufuli amejitahidi kwa kiwango chake na inatosha hapa alipofikia..tunamshukuru kwa Uongozi wake.

Ni maoni yangu tu. Siku njema.
 
Habari za jioni wakuu..

Kama kichwa cha habari kinavyojionesha mimi naona hii miaka mitano imemtosha kabisa raisi wetu Mh.JOHN POMBE MAGUFULI na ningependa MAMA SAMIA SULUHU apokee kijiti cha kuongoza hili taifa.
Maana nimeangalia hali inayoenda nikaona tunahitaji IDEOLOGY mpya ya kuongoza hii nchi na mtu anayeweza kutuvusha ni MAMA SAMIA SULUHU.

Rais Magufuli amejitahidi kwa kiwango chake na inatosha hapa alipofikia..tunamshukuru kwa Uongozi wake.

Ni maoni yangu tu. Siku njema.
Uwe na kumbukumbu, mchujo ndani ya ccm ni baada ya miaka kumi. Nadhani mh. Wa sasa aliliona hilo ndo wakabadilisha katiba ya ccm. Upo hapo?
 
Uwe na kumbukumbu, mchujo ndani ya ccm ni baada ya miaka kumi. Nadhani mh. Wa sasa aliliona hilo ndo wakabadilisha katiba ya ccm. Upo hapo?
Sikulijua hilo mkuu..ila ningependa tupate kiongoz mwingine kwakwel
 
Habari za jioni wakuu..

Kama kichwa cha habari kinavyojionesha mimi naona hii miaka mitano imemtosha kabisa raisi wetu Mh.JOHN POMBE MAGUFULI na ningependa MAMA SAMIA SULUHU apokee kijiti cha kuongoza hili taifa.
Maana nimeangalia hali inayoenda nikaona tunahitaji IDEOLOGY mpya ya kuongoza hii nchi na mtu anayeweza kutuvusha ni MAMA SAMIA SULUHU.

Rais Magufuli amejitahidi kwa kiwango chake na inatosha hapa alipofikia..tunamshukuru kwa Uongozi wake.

Ni maoni yangu tu. Siku njema.

Mimi naona bado tunamhitaji Mh. Pombe ili tuwe na adabu vya kutosha. Akipata miaka mingine 5, wale wote waliokuwa wanaimba "Waacheni waandamane, 'wajinga hao'" watakuwa nao wameisoma namba vya kutosha, na watakuwa wametia akili.
Hatupangishi tena ofisi za chama kama zamani, pombe hatunywi hadi saa 12 tena chupa moja ya kubahatisha, buchani tunaenda kwa nidhamu, barabarani trafiki watano umbali wa chini ya km 10, uhakika wa kesho ukiwa na kibarua 10%, utumbuzi kama kawa nk nk.

Nikweli kuwa "tunapata taabu sana". Lakini nahisi bado dawa haijaingia vyakutosha!
 
Mimi naona bado tunamhitaji Mh. Pombe ili tuwe na adabu vya kutosha. Akipata miaka mingine 5, wale wote waliokuwa wanaimba "Waacheni waandamane, 'wajinga hao'" watakuwa nao wameisoma namba vya kutosha, na watakuwa wametia akili.
Hatupangishi tena ofisi za chama kama zamani, pombe hatunywi hadi saa 12 tena chupa moja ya kubahatisha, buchani tunaenda kwa nidhamu, barabarani trafiki watano umbali wa chini ya km 10, uhakika wa kesho ukiwa na kibarua 10%, utumbuzi kama kawa nk nk.

Nikweli kuwa "tunapata taabu sana". Lakini nahisi bado dawa haijaingia vyakutosha!
Mkuu me naona km tunapotea hivi..ubabe umekuwa mwingi..
 
CCM hatuna utaratibu huo, Rais lazima akae vipindi viwili, wewe unataka kuturetea utaratibu wako... Yaani tutose Rais jembe hivi hivi. Simaanishi mama Samia sio jembe ila Magu ni CHIBOKO (kwa sauti ya waha)
 
Hii mada ni ngumu kuijengea hoja mana hata mleta mada hajajenga hoja za kuweza kumshawishi mtanzania wa kawaida kabisa akaelewa.

Tuache demokrasia ifanye kazi yake .

Wapiga kura ndio wataamua kama nani anafaa.

Huyu ndiye Rice anayefaa kuamsha bongo za watanzania zilizolala. Tukututane 2025.

Hata wana wa Israel walipomwasi Mungu walipitishwa kwenye nyakati ngumu na wakapata tabu sana. Baadae wakazinduka na kumrudia Mungu
 
Habari za jioni wakuu..

Kama kichwa cha habari kinavyojionesha mimi naona hii miaka mitano imemtosha kabisa raisi wetu Mh.JOHN POMBE MAGUFULI na ningependa MAMA SAMIA SULUHU apokee kijiti cha kuongoza hili taifa.
Maana nimeangalia hali inayoenda nikaona tunahitaji IDEOLOGY mpya ya kuongoza hii nchi na mtu anayeweza kutuvusha ni MAMA SAMIA SULUHU.

Rais Magufuli amejitahidi kwa kiwango chake na inatosha hapa alipofikia..tunamshukuru kwa Uongozi wake.

Ni maoni yangu tu. Siku njema.
Of course ni mawazo yako, tena ni ya kipumbavu na kijinga na kishenzi. Hayana maana hata kidogo.
 
Back
Top Bottom