Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Nadhani wengi tutakuwa tunakubaliana kwamba Kampeni za Kumpata Rais wa Taifa letu katika uchaguzi wa mwana 2015 zimepamba moto tayari.
Napendekeza tuanze kuangalia na Chaguzi za Mbele hasa kuanzia 2020.
Japo msingi wa pendekezo langu ni kutaka kuwapunguzia Munkari wataka Urais wetu kwa kuwaonyesha Fursa nyingine ama sivyo naona ni kama vile wataka Urais woote wamewekeza nguvu zao zote mwaka 2015. Athari ya concentration za namna hii mara nyingi zio nzuri na zinaweza zikaleta machafuko nchini mwetu.
Lakini nadhani ni Busara kufanya maandalizi mapema zaidi.Kama tuko tayari basi Mchakato uanze.
Napendekeza tuanze kuangalia na Chaguzi za Mbele hasa kuanzia 2020.
Japo msingi wa pendekezo langu ni kutaka kuwapunguzia Munkari wataka Urais wetu kwa kuwaonyesha Fursa nyingine ama sivyo naona ni kama vile wataka Urais woote wamewekeza nguvu zao zote mwaka 2015. Athari ya concentration za namna hii mara nyingi zio nzuri na zinaweza zikaleta machafuko nchini mwetu.
Lakini nadhani ni Busara kufanya maandalizi mapema zaidi.Kama tuko tayari basi Mchakato uanze.