mrawira
Senior Member
- Sep 20, 2018
- 104
- 51
your wishful thinking😕😕😕
dua la kuku halimpati mwewe.
mtasubiri sana.
mnapokuwa mnawaza mawazo yenu haya mabaya msisahau kuwa Mungu yupo.
Waache hao wafu wanazidi kuangamia kila siku
your wishful thinking😕😕😕
dua la kuku halimpati mwewe.
mtasubiri sana.
mnapokuwa mnawaza mawazo yenu haya mabaya msisahau kuwa Mungu yupo.
Wana hali mbaya mno😀😀😀😀Waache hao wafu wanazidi kuangamia kila siku
umesahau kubet kutaongezeka kwa 40%Ndugu watanzania.tujiandae kisaikolojia
Mwaka 2019 utakuwa mgumu sana kwa nchi yetu.Mambo yafuatayo yatatokea:
Lakini uzuri ni kwamba kiwango cha kufa kitaongezeka Pia so watapungua watu wengi sana
- Watumishi wa umma watacheleweshewa mishahara mpaka miezi mitatu
- Sekta binafsi zitapunguza watu kwa zaidi ya 40%
- Sekta ya umma itapunguza watu kwa zaidi ya 15%
- Huduma za jamii hasa za elimu na afya zitazorota kwa kiwango kikubwa sana
- Zaidi ya 42% ya biashara zitafungwa hizi ni mbali ya zitakazopunguza wafanyakazi
- Kutakuwa na ukame katika 30% ya nchi
- Uzalishaji wa kilimo utashuka kwa 38%
- Sekta ya usafiri itazorota sana.
- Uhalifu utaongezeka kwa 25%
- Rushwa itaongezeka kwa 34%
- Miradi mingi itakwama kutokana na kukosekana kwa Pesa
- Makusanyo ya kodi yatashuka kwa 12%
- Misaada kutoka nje itashuka kwa 28%
- Kiwango cha ukosefu wa ajira kitapanda kwa 60%
- Kiwango cha utegemezi kitapanda kwa 110%
- Uhamaji wa watu kwende vijijini utaongezeka kwa 14%
- Mfumuko wa bei utaongezeka kwa 40%
Kama unabisha fuatilia takwimu rasmi za BS uzisome uache kufuatilia takwimu uchwara
Tufanyeje?
your wishful thinking😕😕😕
dua la kuku halimpati mwewe.
mtasubiri sana.
mnapokuwa mnawaza mawazo yenu haya mabaya msisahau kuwa Mungu yupo.
Acha kutisha watu wewe!Ndugu watanzania.tujiandae kisaikolojia
Mwaka 2019 utakuwa mgumu sana kwa nchi yetu.Mambo yafuatayo yatatokea:
Lakini uzuri ni kwamba kiwango cha kufa kitaongezeka Pia so watapungua watu wengi sana
- Watumishi wa umma watacheleweshewa mishahara mpaka miezi mitatu
- Sekta binafsi zitapunguza watu kwa zaidi ya 40%
- Sekta ya umma itapunguza watu kwa zaidi ya 15%
- Huduma za jamii hasa za elimu na afya zitazorota kwa kiwango kikubwa sana
- Zaidi ya 42% ya biashara zitafungwa hizi ni mbali ya zitakazopunguza wafanyakazi
- Kutakuwa na ukame katika 30% ya nchi
- Uzalishaji wa kilimo utashuka kwa 38%
- Sekta ya usafiri itazorota sana.
- Uhalifu utaongezeka kwa 25%
- Rushwa itaongezeka kwa 34%
- Miradi mingi itakwama kutokana na kukosekana kwa Pesa
- Makusanyo ya kodi yatashuka kwa 12%
- Misaada kutoka nje itashuka kwa 28%
- Kiwango cha ukosefu wa ajira kitapanda kwa 60%
- Kiwango cha utegemezi kitapanda kwa 110%
- Uhamaji wa watu kwende vijijini utaongezeka kwa 14%
- Mfumuko wa bei utaongezeka kwa 40%
Kama unabisha fuatilia takwimu rasmi za BS uzisome uache kufuatilia takwimu uchwara
Tufanyeje?
Zote sawa isipokuwa na 6Ndugu watanzania.tujiandae kisaikolojia
Mwaka 2019 utakuwa mgumu sana kwa nchi yetu.Mambo yafuatayo yatatokea:
Lakini uzuri ni kwamba kiwango cha kufa kitaongezeka Pia so watapungua watu wengi sana
- Watumishi wa umma watacheleweshewa mishahara mpaka miezi mitatu
- Sekta binafsi zitapunguza watu kwa zaidi ya 40%
- Sekta ya umma itapunguza watu kwa zaidi ya 15%
- Huduma za jamii hasa za elimu na afya zitazorota kwa kiwango kikubwa sana
- Zaidi ya 42% ya biashara zitafungwa hizi ni mbali ya zitakazopunguza wafanyakazi
- Kutakuwa na ukame katika 30% ya nchi
- Uzalishaji wa kilimo utashuka kwa 38%
- Sekta ya usafiri itazorota sana.
- Uhalifu utaongezeka kwa 25%
- Rushwa itaongezeka kwa 34%
- Miradi mingi itakwama kutokana na kukosekana kwa Pesa
- Makusanyo ya kodi yatashuka kwa 12%
- Misaada kutoka nje itashuka kwa 28%
- Kiwango cha ukosefu wa ajira kitapanda kwa 60%
- Kiwango cha utegemezi kitapanda kwa 110%
- Uhamaji wa watu kwende vijijini utaongezeka kwa 14%
- Mfumuko wa bei utaongezeka kwa 40%
Kama unabisha fuatilia takwimu rasmi za BS uzisome uache kufuatilia takwimu uchwara
Tufanyeje?
Kudadeki..ahahahahahahha.Watakufa kwanza wanao, na ndugu zako alafu na wewe utakufa kabla ya mwezi wa tatu 2019
Amin amin na amin
Nabii wa uwongo ni lazima apigwe mawe mpaka afe!
Nawe nchi hii itakupiga mpaka upate mauti!
Watu wakijua kutumia takwimu hivi na 'ukweli unaosimamiwa na ushahidi' kama ulivyofanya wewe, tutapiga hatua sana.Lakini uzuri ni kwamba kiwango cha kufa kitaongezeka Pia so watapungua watu wengi sana
Ukiwa na akili timamu na ikajua kuinterract ubongo wako na nyakati tulizonazo kwa faida yako ya badae huwezi kubeza utabiri huu, sio lazima utimie kwa asilimia 100, lakini mengi ya haya yatatokea. Kutakuwa na ugum wa maisha kupita kiasi.Ndugu watanzania.tujiandae kisaikolojia
Mwaka 2019 utakuwa mgumu sana kwa nchi yetu.Mambo yafuatayo yatatokea:
Lakini uzuri ni kwamba kiwango cha kufa kitaongezeka Pia so watapungua watu wengi sana
- Watumishi wa umma watacheleweshewa mishahara mpaka miezi mitatu
- Sekta binafsi zitapunguza watu kwa zaidi ya 40%
- Sekta ya umma itapunguza watu kwa zaidi ya 15%
- Huduma za jamii hasa za elimu na afya zitazorota kwa kiwango kikubwa sana
- Zaidi ya 42% ya biashara zitafungwa hizi ni mbali ya zitakazopunguza wafanyakazi
- Kutakuwa na ukame katika 30% ya nchi
- Uzalishaji wa kilimo utashuka kwa 38%
- Sekta ya usafiri itazorota sana.
- Uhalifu utaongezeka kwa 25%
- Rushwa itaongezeka kwa 34%
- Miradi mingi itakwama kutokana na kukosekana kwa Pesa
- Makusanyo ya kodi yatashuka kwa 12%
- Misaada kutoka nje itashuka kwa 28%
- Kiwango cha ukosefu wa ajira kitapanda kwa 60%
- Kiwango cha utegemezi kitapanda kwa 110%
- Uhamaji wa watu kwende vijijini utaongezeka kwa 14%
- Mfumuko wa bei utaongezeka kwa 40%
Kama unabisha fuatilia takwimu rasmi za BS uzisome uache kufuatilia takwimu uchwara
Tufanyeje?
Loo, hii ndio mifano yetu tunayoanza kujilinganisha nayo? Basi nakubaliana nawe kuwa tusiwe na wasiwasi wowote na taifa letu linakokwenda. Tuta'survive' kama Burundi na kwingineko,(usisahau Sudan Kusini), wanavyopeta.Acha kutisha watu wewe!
Burundi hawana bandari, ardhi ya kutosha kwa ajili ya kilimo, ukosefu wa utulivu kisiasa na amani, vikwazo vya kiuchumi na silaha; mbona wame-survive tangu 2015 hadi leo hii na wapo?
Ndugu watanzania.tujiandae kisaikolojia
Mwaka 2019 utakuwa mgumu sana kwa nchi yetu.Mambo yafuatayo yatatokea:
Lakini uzuri ni kwamba kiwango cha kufa kitaongezeka Pia so watapungua watu wengi sana
- Watumishi wa umma watacheleweshewa mishahara mpaka miezi mitatu
- Sekta binafsi zitapunguza watu kwa zaidi ya 40%
- Sekta ya umma itapunguza watu kwa zaidi ya 15%
- Huduma za jamii hasa za elimu na afya zitazorota kwa kiwango kikubwa sana
- Zaidi ya 42% ya biashara zitafungwa hizi ni mbali ya zitakazopunguza wafanyakazi
- Kutakuwa na ukame katika 30% ya nchi
- Uzalishaji wa kilimo utashuka kwa 38%
- Sekta ya usafiri itazorota sana.
- Uhalifu utaongezeka kwa 25%
- Rushwa itaongezeka kwa 34%
- Miradi mingi itakwama kutokana na kukosekana kwa Pesa
- Makusanyo ya kodi yatashuka kwa 12%
- Misaada kutoka nje itashuka kwa 28%
- Kiwango cha ukosefu wa ajira kitapanda kwa 60%
- Kiwango cha utegemezi kitapanda kwa 110%
- Uhamaji wa watu kwende vijijini utaongezeka kwa 14%
- Mfumuko wa bei utaongezeka kwa 40%
Kama unabisha fuatilia takwimu rasmi za BS uzisome uache kufuatilia takwimu uchwara
Tufanyeje?
Hakuna mwaka mzuri wa kuwa tajiri kama mwaka wenye vitisho hivyo unavyosema. Twende pamoja.
1. Uuzwaji wa majeneza, kama watu watakufa sana biashara itakayofaa ni kuuza majeneza, mbao, maua ya kupamba msibani. Mc msibani, magari ya kusafirisha msiba. Hata ukishindwa yote hata kibarua cha kuchimba shimo la kuzika.
2. Kuuza nafaka kwa bei nzuri. Kwa sasa ni kuweka stock yakutosha ili kukabiliana na upungufu wa chakula na kuuza kwa bei nzuri.
3.
4.
Kwa ufupi zote ulizoandika ni fursa kwangu acha zitokee tu ili na mm niwe billionea. Wewe unayewaza kufa kufa tu
Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.Nijapopita kwenye bonde la uvuli wa mauti sitaogopa mabay....kwamaana wewe Bwana Mungu u pamoja nami
Kwahiyo unadhani Mungu yupo kwenu tu? Mnayowatendea wengine mnadhani Mungu haoni?your wishful thinking😕😕😕
dua la kuku halimpati mwewe.
mtasubiri sana.
mnapokuwa mnawaza mawazo yenu haya mabaya msisahau kuwa Mungu yupo.