ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,031
- 3,911
Ndugu watanzania.tujiandae kisaikolojia
Mwaka 2019 utakuwa mgumu sana kwa nchi yetu.Mambo yafuatayo yatatokea:
Kama unabisha fuatilia takwimu rasmi za BS uzisome uache kufuatilia takwimu uchwara
Tufanyeje?
Mwaka 2019 utakuwa mgumu sana kwa nchi yetu.Mambo yafuatayo yatatokea:
- Watumishi wa umma watacheleweshewa mishahara mpaka miezi mitatu
- Sekta binafsi zitapunguza watu kwa zaidi ya 40%
- Sekta ya umma itapunguza watu kwa zaidi ya 15%
- Huduma za jamii hasa za elimu na afya zitazorota kwa kiwango kikubwa sana
- Zaidi ya 42% ya biashara zitafungwa hizi ni mbali ya zitakazopunguza wafanyakazi
- Kutakuwa na ukame katika 30% ya nchi
- Uzalishaji wa kilimo utashuka kwa 38%
- Sekta ya usafiri itazorota sana.
- Uhalifu utaongezeka kwa 25%
- Rushwa itaongezeka kwa 34%
- Miradi mingi itakwama kutokana na kukosekana kwa Pesa
- Makusanyo ya kodi yatashuka kwa 12%
- Misaada kutoka nje itashuka kwa 28%
- Kiwango cha ukosefu wa ajira kitapanda kwa 60%
- Kiwango cha utegemezi kitapanda kwa 110%
- Uhamaji wa watu kwende vijijini utaongezeka kwa 14%
- Mfumuko wa bei utaongezeka kwa 40%
Kama unabisha fuatilia takwimu rasmi za BS uzisome uache kufuatilia takwimu uchwara
Tufanyeje?