Mahrez kawakomesha wakubebwa bebwa🤣🤣🤣🤣🤣
Poleni mkuu
Mahrez kawakomesha wakubebwa bebwa🤣🤣🤣🤣🤣
Poleni mkuu
Ngoja tusubiri mwisho wake
Mahrez kawakomesha wakubebwa bebwa
Group C ndani ya Finale nilisema hili mapema. Aljeria anachukua ndo
Nasisitiza, Algeria anachukua kombe, jifanye unajikuna kama unabisha
Anastahili pongezi...Mahrez kawakomesha wakubebwa bebwa
Nigeria na Algeria wamekutana
Tabia za kujirusharusha wote wanazo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anastahili pongezi...
Ndio yeye aliyepiga krosi beki wa Nigeria kaunganisha goli la kwanza.
Nigeria anashinda
Trust me![]()
Umeanza 🤣🤣
nigeria ana shinda njaaRudia tena baba swalehe
2-1, freekick ya akiri ile from maharez
Nasisitiza, Algeria anachukua kombe, jifanye unajikuna kama unabisha
Hapana umekosea mkuu
Senegal mpaka finali na ndoo anabeba
Hadi hapa napenda kuchukua fursa ya kujipongeza mwenyewe kwa mkeka huu ulivyotiki barabara.Senegal anabeba ndoo
VAR oyeeeeeeeeeeeeeee