The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,264
- 10,503
Acha masihara mkuu.Kama taifa tunashindwa kuwalipa wachezaji dola 300 tu? 75 ni ndogo sana ukichukulia pia pale wapo kazini.
Mtu kama Samatta hiyo dola 300 tu ni kama anajitolea.
Kupewa zaidi ya 600 huku unalipiwa kila kitu?? Binafsi sioni kama ni sawa.
Mpira ni kiwango na ufundi mwingi kwanza hamasa ni kikolezo tu.