Wazee wa gubuSasa unataka kulazimisha kuwa nchi kama hii ina furaha?View attachment 1861014
Badala ya kuficha ujinga wako kwa kukwepa kuchangia mada unajitokeza waziwazi kujitangaza kuwa wewe ni mjinga?Ujinga ni sifa hadi ujitokeze hadharani kujitangaza kuwa wewe ni mjinga?WTF!!!
Nakushauri siku nyingine bakia huko huko mafichoni ili kuficha ujinga wako.
Achaneni na hizi ripoti za kupima furaha. Mimi nadhani hazina ukweli wowote. Nchi za Scandinavia nazijua in out. Na Tanzania naijua in out. Watanzania wana furaha kuliko hao wazungu. Trust me. Furaha ni zaidi ya kuwa na nyumba nzuri, usafiri na chakula.Furaha ina maana gani kwa mujibu wa ripoti hiyo?
Kuna ukweli kwenye maoni yako. Mara nyingi watu wasiojua mengi furaha yao ni mambo madogo madogo.Ukijua mambo mengi huwezi kuwa na furaha
Mwigulu kasema mkitaka hamieni Burundi wala uchumi wetu hautatetereka🤣🤸🐒
Nimeshangaa sana hiyo ripoti.Achaneni na hizi ripoti za kupima furaha. Mimi nadhani hazina ukweli wowote. Nchi za Scandinavia nazijua in out. Na Tanzania naijua in out. Watanzania wana furaha kuliko hao wazungu. Trust me. Furaha ni zaidi ya kuwa na nyumba nzuri, usafiri na chakula.
MTU Kama jammbazi sabaya ambaye ni ccm anafuraha kweliHii nchi wenye hawana furaha ni wapinzani mataga wana enjoy tu
Badala ya kujibu swali langu umekimbilia kwenye porojo.Hiki ni kipimo tosha cha uwezo wako hafifu wa kujibu hoja.Wazee wa gubu
Mkapa mbayaaaaa, mwinyi mbayaaaaa, Jakaya mbayaaaaa, magufuli mbayaaaaa, Samia mbayaaaaa
Hamna Jema,
Lakini dunia hii aisee
Tuna Tanzania mbili, the real, and the utopic one , ya utopia iko online Republic
Ukweli mtupuNchi zilizopo kwenye kumi bora kwa kuwa na furaha duniani kwa mwaka 2018 - 2020👇
View attachment 1860885
Nchi zilizopo kumi bora kwa kukosa furaha duniani kwa mwaka 2021👇
View attachment 1860884
Sources:Happiness, trust, and deaths under COVID-19
Kupima furaha ni rahisi sana mkuu.Nchi ambayo wananchi wake hawana chakula,hawana nyumba ya kuishi,hawana nguo za kuvaa,hawana huduma za maji,afya,elimu,barabara,haki za binadamu haziheshimiwi na unaweza kuuawa muda wowote ule kama Kuku kama ilivyo Rwanda na kadhalika hawawezi kuwa na furaha.
Duuuh !Badala ya kujibu swali langu umekimbilia kwenye porojo.Hiki ni kipimo tosha cha uwezo wako hafifu wa kujibu hoja.
Kwa nini unalazimisha kuwa nchi kama hii ina furaha?Ni unajivisha upofu?Ni unajivisha ukiziwi?Ni unajilazimishia kuwa wewe ni tahira?Ni unajilazimishia kuwa wewe ni hamnazo?
View attachment 1861120
MBONA RWANDA WAKO VIZURI KILA KITU INAKUWAJE AHWANA FURAHAKupima furaha ni rahisi sana mkuu.Nchi ambayo wananchi wake hawana chakula,hawana nyumba za kuishi,hawana nguo za kuvaa,hawana huduma za maji,afya,elimu,barabara,haki za binadamu haziheshimiwi na unaweza kuuawa muda wowote ule kama Kuku kama ilivyo Rwanda na kadhalika hawawezi kuwa na furaha.
Wana maendeleo ya vitu badala ya kuwa na maendeleo ya watu.MBONA RWANDA WAKO VIZURI KILA KITU INAKUWAJE AHWANA FURAHA
Rwanda hawapo vizuri kwenye kila kitu.Rwanda wanawekeza katika maendeleo ya vitu badala ya kuwekeza katika maendeleo ya watu.MBONA RWANDA WAKO VIZURI KILA KITU INAKUWAJE AHWANA FURAHA