2016 US Elections - Exlusive discussion thread

2016 US Elections - Exlusive discussion thread

Sasa subiri spin doctors wa Trump watakavyombeba si ajabu hata yule gavana aliyetoa kauli kwamba kama DT asiposhinda basi Wamarekani wataamua kuingia mtaani na kuanzisha mtafaruku ataibuka tena kutoa kauli za vitisho. Na kwa maoni yangu hii debates inahitaji host wawili na si mmoja.

...hehehe, huyu ndo the Donald. 😀😀😀
 
  • Thanks
Reactions: kui
Bora umekuwa mkweli tu Mkuu. Hakustahili kufika huku, kulikuwa na wagombea wazuri na wenye experience kubwa kuliko yeye lakini ndiyo hivyo tena demokrasi ilifanya vitu vyake,

Trump kwa hii debate kawaangusha mashabiki wake mimi nikiwa mmoja wao! Sikuwahi kumsikiliza vizuri huyu jamaa!
 
  • Thanks
Reactions: kui
Bora umekuwa mkweli tu Mkuu. Hakustahili kufika huku, kulikuwa na wagombea wazuri na wenye experience kubwa kuliko yeye lakini ndiyo hivyo tena demokrasi ilifanya vitu vyake,
Kweli Mkuu ngoja nisubiri debate ijayo I hope washauri wake watamwandaa vizuri! Dah nimenywea kabisa!
 
Bora umekuwa mkweli tu Mkuu. Hakustahili kufika huku, kulikuwa na wagombea wazuri na wenye experience kubwa kuliko yeye lakini ndiyo hivyo tena demokrasi ilifanya vitu vyake,

This is a shocker!

Yaani kabisa BAK unakubali kuwa GOP walikuwa na wagombea bora kuliko Trump?

Mi nilidhani wewe hakuna GOPer yoyote yule unayeweza hata kukiri kuwa anafaa😀.

Maajabu ya mwaka haya.
 
Trump was Trump today and he did what he was suppose to do...To show the whole World that GOP made a big mistake to nominate him as their candidate.

Kweli Mkuu ngoja nisubiri debate ijayo I hope washauri wake watamwandaa vizuri! Dah nimenywea kabisa!
 
  • Thanks
Reactions: kui
She had her best moment on the foreign policy stuff especially when she reassured the world that they can rely on America under her leadership


...Agree, was thinking the same. She did great on her expertise.
 
Haya amkeni tena muende kufanyakazi. Hapajazi tu. Tuacheni tuendelee kufanya uchambuzi wa Wagombea wetu, nyie mmeshachagua mtukufu wenu.
 
Trump was Trump today and he did what he was suppose to do...To show the whole World that GOP made a big mistake to nominate him as their candidate.
Kabisa yaani, kila media unayofungua inachambua mapungufu yake. Seemingly, Clinton amejiongezea credit sana kupitia mdahalo huu. Angalia alivyoweza kumhadaa na issue ya private emails. Amejibu kwa ufupi na Trump ameshindwa kuendelea na agenda hiyo tena.
 
Hopefully the next two debates will be more substantive.

But how many people will even tune in to watch?
 
Pamoja na kuwa nawapinga vibaya sana hawa watu lakini naamini kwamba kulikuwa na wagombe wawili watatu ambao ni wazuri tena kwa mbali ukilinganisha na huyu jamaa....New Jersey gavana, Bush and Ohio gavana Kasick. Kasick alistahili kuliko mwingine yeyote yule. Usione maajabu huo ni ukweli lakini pamoja na hao kuwa wazuri lakini hawastahili kuingia WH wanaposimama na Hillary, hiyo ni opibnion ya BAK ambayo opinion ya BAK inaweza kabisa kuwa tofauti na ile ya wapiga kura. Hata political pundits chungu nzima hawakutegemea Trump afike huku kwa kujua fika kwamba kuna wagombea wazuri zaidi kuliko Trump.

This is a shocker!

Yaani kabisa BAK unakubali kuwa GOP walikuwa na wagombea bora kuliko Trump?

Mi nilidhani wewe hakuna GOPer yoyote yule unayeweza hata kukiri kuwa anafaa😀.

Maajabu ya mwaka haya.
 
Pamoja na kuwa nawapinga vibaya sana hawa watu lakini naamini kwamba kulikuwa na wagombe wawili watatu ambao ni wazuri tena kwa mbali ukilinganisha na huyu jamaa....New Jersey gavana, Bush and Ohio gavana Kasick. Kasick alistahili kuliko mwingine yeyote yule. Usione maajabu huo ni ukweli lakini pamoja na hao kuwa wazuri lakini hawastahili kuingia WH wanaposimama na Hillary, hiyo ni opibnion ya BAK ambayo opinion ya BAK inaweza kabisa kuwa tofauti na ile ya wapiga kura. Hata political pundits chungu nzima hawakutegemea Trump afike huku kwa kujua fika kwamba kuna wagombea wazuri zaidi kuliko Trump.

I'm very surprised you saying that.

And that is because you are very unreasonably biased when it comes to US politics [that's my opinion].

So for you even conceding that is a shocker.

But oh well...you are entitled to it, though.
 
Trump kafunikwa kwenye huu mdahalo kwenye kujibu hoja ingawa kakurupuka sana kurukaruka kama chura. I didn't expect much from him though.
 
Experience Experience Experience.... I hope you can at least smile for the next few days 😛😛😛😛 She did not disappoint us (her supporters) and there is more to come between now and November 8th.

Haha!, damn I heart Hillary, talkin' bout Stamina huh!

Her answers are just short but super clear.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Trump was Trump today and he did what he was suppose to do...To show the whole World that GOP made a big mistake to nominate him as their candidate.


Hiyo ya kuwa mwenyewe alivyo, same Trump wa kuchemka naona hata waandishi wamekubali.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ila uongo mbaya...nilikuwa na mzuka sana kuhusu hii debate na nilichokipata hakijakidhi kabisa kiu ya mzuka niliokuwa nao.

Hizo zijazo sitaacha shughuli zangu kuwaangalia tena hawa watu.
 
Back
Top Bottom