NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Cyrili Chami na Hansi walikutana kwenye kinyang'anyiro cha ubunge 2010 wote wawili kupitia tiketi ya CCM. Chami alibwaga Hansi na kupeperusha bendera ya CCM, ambako final Chami alipambana na komu wa Chadema na alimshinda Komu na kuwa Mbunge wa Moshi vijijini. Kwa sasa Chami amekuwa akitoa kauli kama vile ni mpinzani au anataka kuhamia upinzani lakini ukweli ni kwamba atagombea tena Ungune kwa kupitia tiketi ya CCM.
Hansi Mmassy tayari amejikita jimboni kuhakikisha kuwa anang'oa Chami na anatumia advantage ya udhaifu wa Chami kushindwa kutatua kero za wananchi na amedhamiria vilivyo kumng'oa Chami.
Kwa upande wa Komu yeye hajaonyesha activeness yeyote jimboni amejikita zaidi na mambo ya CDM makao makuu.
Hansi Mmassy tayari amejikita jimboni kuhakikisha kuwa anang'oa Chami na anatumia advantage ya udhaifu wa Chami kushindwa kutatua kero za wananchi na amedhamiria vilivyo kumng'oa Chami.
Kwa upande wa Komu yeye hajaonyesha activeness yeyote jimboni amejikita zaidi na mambo ya CDM makao makuu.