Peoples.............!
nikweli Moto wa chadema hakuna wa kuuzimaHakuna anayejikomba bali UKWELI ndo huo
2015 mna mpango wa kumuweka Padri au Askofu kugombea uraisi?
Huku kwetu Bukima siku hizi kibwagizo cha CCM oyee ni yahoye. Maana yake imekwisha.
2015 mna mpango wa kumuweka padri au askofu kugombea uraisi?
Nduka.....maku.
Nakuhakikishia watakuwa hawasikiki tena mwaka huo.
The unseen is illustrated by the seen.
Wao wana dola na sisi tuna Mungu, 2015 ni dhahili CDM itakua madarakani.,M4C forever...
Peopleeeeeeeesssssssss...............