iron finger
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 358
- 221
Ukitazama hali ya siasa kwa sasa bila shaka utagundua kuwa chama tawala bado kina nguvu kubwa ambayo bado hakuna chama pinzani imara cha kuweza kupambana nayo
Chadema ndio angalau chenye nafuu kidogo kati ya vyote ila ushauri wangu kwa chama changu chadema ni kuwa kisahau kuhusu urais wa mwaka 2015 kwa kuwa bado CCM itashinda pasipo shaka yeyote
jeuri kubwa ya chama cha mapinduzi ni kuwa kina mtaji wake usio na mawaa wa watanzania wa vijijini amabao pasi na shaka wamejitolea utukufu wao kwa chama cha mapinduzi hivyo chadema hawana haja ya kutumia gharama na mudu mwingi kuwekeza katika nafasi ya urais isipokuwa wajipange vyema kwenye ubunge na udiwani
ni mwendawazimu pekee mwenye kuamini kuwa chadema ilishinda uchaguzi wa 2010
na itakuwa ni makosa tena kujipa moyo kuwa chadema itashinda tena uchaguzi wa urais 2015
badala yake chama kituandae vijana machachari ambao tumejipanga kwenda majimboni mwaka wa uchaguzi ili tuweze kuongeza idadi ya wabunge na kupata nguvu za kuwabana CCM kwenye mambo ya msingi bungeni badala ya kutumia rasilimali watu na fedha nyingi kumsapoti mtu mmoja kwenye urais ambaye matumaini ya ushindi ni sifuri
Chadema ndio angalau chenye nafuu kidogo kati ya vyote ila ushauri wangu kwa chama changu chadema ni kuwa kisahau kuhusu urais wa mwaka 2015 kwa kuwa bado CCM itashinda pasipo shaka yeyote
jeuri kubwa ya chama cha mapinduzi ni kuwa kina mtaji wake usio na mawaa wa watanzania wa vijijini amabao pasi na shaka wamejitolea utukufu wao kwa chama cha mapinduzi hivyo chadema hawana haja ya kutumia gharama na mudu mwingi kuwekeza katika nafasi ya urais isipokuwa wajipange vyema kwenye ubunge na udiwani
ni mwendawazimu pekee mwenye kuamini kuwa chadema ilishinda uchaguzi wa 2010
na itakuwa ni makosa tena kujipa moyo kuwa chadema itashinda tena uchaguzi wa urais 2015
badala yake chama kituandae vijana machachari ambao tumejipanga kwenda majimboni mwaka wa uchaguzi ili tuweze kuongeza idadi ya wabunge na kupata nguvu za kuwabana CCM kwenye mambo ya msingi bungeni badala ya kutumia rasilimali watu na fedha nyingi kumsapoti mtu mmoja kwenye urais ambaye matumaini ya ushindi ni sifuri