2015 Chadema Isisimamishe Mgombea Urais

2015 Chadema Isisimamishe Mgombea Urais

Status
Not open for further replies.

iron finger

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
358
Reaction score
221
Ukitazama hali ya siasa kwa sasa bila shaka utagundua kuwa chama tawala bado kina nguvu kubwa ambayo bado hakuna chama pinzani imara cha kuweza kupambana nayo
Chadema ndio angalau chenye nafuu kidogo kati ya vyote ila ushauri wangu kwa chama changu chadema ni kuwa kisahau kuhusu urais wa mwaka 2015 kwa kuwa bado CCM itashinda pasipo shaka yeyote

jeuri kubwa ya chama cha mapinduzi ni kuwa kina mtaji wake usio na mawaa wa watanzania wa vijijini amabao pasi na shaka wamejitolea utukufu wao kwa chama cha mapinduzi hivyo chadema hawana haja ya kutumia gharama na mudu mwingi kuwekeza katika nafasi ya urais isipokuwa wajipange vyema kwenye ubunge na udiwani
ni mwendawazimu pekee mwenye kuamini kuwa chadema ilishinda uchaguzi wa 2010
na itakuwa ni makosa tena kujipa moyo kuwa chadema itashinda tena uchaguzi wa urais 2015
badala yake chama kituandae vijana machachari ambao tumejipanga kwenda majimboni mwaka wa uchaguzi ili tuweze kuongeza idadi ya wabunge na kupata nguvu za kuwabana CCM kwenye mambo ya msingi bungeni badala ya kutumia rasilimali watu na fedha nyingi kumsapoti mtu mmoja kwenye urais ambaye matumaini ya ushindi ni sifuri
 
angalia usijekuwa wewe ndio mwendawazimu,kwani hata kichaa huwa anajiona ndio ana akili.
 
Ukitazama hali ya siasa kwa sasa bila shaka utagundua kuwa chama tawala bado kina nguvu kubwa ambayo bado hakuna chama pinzani imara cha kuweza kupambana nayo
Chadema ndio angalau chenye nafuu kidogo kati ya vyote ila ushauri wangu kwa chama changu chadema ni kuwa kisahau kuhusu urais wa mwaka 2015 kwa kuwa bado CCM itashinda pasipo shaka yeyote

jeuri kubwa ya chama cha mapinduzi ni kuwa kina mtaji wake usio na mawaa wa watanzania wa vijijini amabao pasi na shaka wamejitolea utukufu wao kwa chama cha mapinduzi hivyo chadema hawana haja ya kutumia gharama na mudu mwingi kuwekeza katika nafasi ya urais isipokuwa wajipange vyema kwenye ubunge na udiwani
ni mwendawazimu pekee mwenye kuamini kuwa chadema ilishinda uchaguzi wa 2010
na itakuwa ni makosa tena kujipa moyo kuwa chadema itashinda tena uchaguzi wa urais 2015
badala yake chama kituandae vijana machachari ambao tumejipanga kwenda majimboni mwaka wa uchaguzi ili tuweze kuongeza idadi ya wabunge na kupata nguvu za kuwabana CCM kwenye mambo ya msingi bungeni badala ya kutumia rasilimali watu na fedha nyingi kumsapoti mtu mmoja kwenye urais ambaye matumaini ya ushindi ni sifuri

Akili yako imepunga zaidi kuliko ya inzi
 
Inawachomaaaaa!!!!! pipoz pawaaaaa!!!! inawachooomaaa
 
Kumbuka 2005 CCM ilipoteza 20%, 2010 ikapoteza 20% tena, sasa kama trend ndiyo hiyo unafikiri 2015 itakuwaje na jinsi walivyowasusa wananchi na kukumbatia MAFISADI unafikiri watavuna nini?
 
Ukitazama hali ya siasa kwa sasa bila shaka utagundua kuwa chama tawala bado kina nguvu kubwa ambayo bado hakuna chama pinzani imara cha kuweza kupambana nayo
Chadema ndio angalau chenye nafuu kidogo kati ya vyote ila ushauri wangu kwa chama changu chadema ni kuwa kisahau kuhusu urais wa mwaka 2015 kwa kuwa bado CCM itashinda pasipo shaka yeyote

jeuri kubwa ya chama cha mapinduzi ni kuwa kina mtaji wake usio na mawaa wa watanzania wa vijijini amabao pasi na shaka wamejitolea utukufu wao kwa chama cha mapinduzi hivyo chadema hawana haja ya kutumia gharama na mudu mwingi kuwekeza katika nafasi ya urais isipokuwa wajipange vyema kwenye ubunge na udiwani
ni mwendawazimu pekee mwenye kuamini kuwa chadema ilishinda uchaguzi wa 2010
na itakuwa ni makosa tena kujipa moyo kuwa chadema itashinda tena uchaguzi wa urais 2015
badala yake chama kituandae vijana machachari ambao tumejipanga kwenda majimboni mwaka wa uchaguzi ili tuweze kuongeza idadi ya wabunge na kupata nguvu za kuwabana CCM kwenye mambo ya msingi bungeni badala ya kutumia rasilimali watu na fedha nyingi kumsapoti mtu mmoja kwenye urais ambaye matumaini ya ushindi ni sifuri
sasa mmeona mbadili style baada ya propaganda ya huyo mliyompigia debe kukwama mtasema hiki mtasema kile tutasimamisha mgombea urais wabunge na madiwani
 
Kweli DEMOKRASIA imekuwa mpaka imevuka mipaka sasa.
 
Watu kama huyu unaweza kujikuta unaKUFURU Mungu bure. Anyway, mipango ya Mungu kweli haina makosa. Atukuzwe kwa uumbaji wake na ugawaji wake akili kwa watu wake, AMEN.

 
Last edited by a moderator:
Ukitazama hali ya siasa kwa sasa bila shaka utagundua kuwa chama tawala bado kina nguvu kubwa ambayo bado hakuna chama pinzani imara cha kuweza kupambana nayo
Chadema ndio angalau chenye nafuu kidogo kati ya vyote ila ushauri wangu kwa chama changu chadema ni kuwa kisahau kuhusu urais wa mwaka 2015 kwa kuwa bado CCM itashinda pasipo shaka yeyote

jeuri kubwa ya chama cha mapinduzi ni kuwa kina mtaji wake usio na mawaa wa watanzania wa vijijini amabao pasi na shaka wamejitolea utukufu wao kwa chama cha mapinduzi hivyo chadema hawana haja ya kutumia gharama na mudu mwingi kuwekeza katika nafasi ya urais isipokuwa wajipange vyema kwenye ubunge na udiwani
ni mwendawazimu pekee mwenye kuamini kuwa chadema ilishinda uchaguzi wa 2010
na itakuwa ni makosa tena kujipa moyo kuwa chadema itashinda tena uchaguzi wa urais 2015
badala yake chama kituandae vijana machachari ambao tumejipanga kwenda majimboni mwaka wa uchaguzi ili tuweze kuongeza idadi ya wabunge na kupata nguvu za kuwabana CCM kwenye mambo ya msingi bungeni badala ya kutumia rasilimali watu na fedha nyingi kumsapoti mtu mmoja kwenye urais ambaye matumaini ya ushindi ni sifuri
sasa mmeona mbadili style baada ya propaganda ya huyo mliyompigia debe kukwama mtasema hiki mtasema kile tutasimamisha mgombea urais wabunge na madiwani
 
Aliekutuma muambie hujawakuta na haurudi tena unaogopa the dog owner. Sawa totoo?
 
hii ni sawa na kumsusia nguruwe shamba la mihogo!
 
Ukitazama hali ya siasa kwa sasa bila shaka utagundua kuwa chama tawala bado kina nguvu kubwa ambayo bado hakuna chama pinzani imara cha kuweza kupambana nayo
Chadema ndio angalau chenye nafuu kidogo kati ya vyote ila ushauri wangu kwa chama changu chadema ni kuwa kisahau kuhusu urais wa mwaka 2015 kwa kuwa bado CCM itashinda pasipo shaka yeyote

jeuri kubwa ya chama cha mapinduzi ni kuwa kina mtaji wake usio na mawaa wa watanzania wa vijijini amabao pasi na shaka wamejitolea utukufu wao kwa chama cha mapinduzi hivyo chadema hawana haja ya kutumia gharama na mudu mwingi kuwekeza katika nafasi ya urais isipokuwa wajipange vyema kwenye ubunge na udiwani
ni mwendawazimu pekee mwenye kuamini kuwa chadema ilishinda uchaguzi wa 2010
na itakuwa ni makosa tena kujipa moyo kuwa chadema itashinda tena uchaguzi wa urais 2015
badala yake chama kituandae vijana machachari ambao tumejipanga kwenda majimboni mwaka wa uchaguzi ili tuweze kuongeza idadi ya wabunge na kupata nguvu za kuwabana CCM kwenye mambo ya msingi bungeni badala ya kutumia rasilimali watu na fedha nyingi kumsapoti mtu mmoja kwenye urais ambaye matumaini ya ushindi ni sifuri

"intellectuals can not vote upon ccm" never!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kunya.jpg
Ifanye hii kuwa Avatar bila shaka inatranslate mawazo yako.
 
sasa mmeona mbadili style baada ya propaganda ya huyo mliyompigia debe kukwama mtasema hiki mtasema kile tutasimamisha mgombea urais wabunge na madiwani

Ajabu wimbo wao ni ule ule wa Mkutano Mkuu wa CCM- chadema, chadema, chadema! Hakuna vyama vingine? Mbona kuna cuf, chauma, sau nk?
Kama Iron Finger angekuwa sio mnafiki, angewashauri CUF wajaribu kumsimamisha mwingine 2015 badala ya Prof Lipumba.
 
Ukitazama hali ya siasa kwa sasa bila shaka utagundua kuwa chama tawala bado kina nguvu kubwa ambayo bado hakuna chama pinzani imara cha kuweza kupambana nayo
Chadema ndio angalau chenye nafuu kidogo kati ya vyote ila ushauri wangu kwa chama changu chadema ni kuwa kisahau kuhusu urais wa mwaka 2015 kwa kuwa bado CCM itashinda pasipo shaka yeyote

jeuri kubwa ya chama cha mapinduzi ni kuwa kina mtaji wake usio na mawaa wa watanzania wa vijijini amabao pasi na shaka wamejitolea utukufu wao kwa chama cha mapinduzi hivyo chadema hawana haja ya kutumia gharama na mudu mwingi kuwekeza katika nafasi ya urais isipokuwa wajipange vyema kwenye ubunge na udiwani
ni mwendawazimu pekee mwenye kuamini kuwa chadema ilishinda uchaguzi wa 2010
na itakuwa ni makosa tena kujipa moyo kuwa chadema itashinda tena uchaguzi wa urais 2015
badala yake chama kituandae vijana machachari ambao tumejipanga kwenda majimboni mwaka wa uchaguzi ili tuweze kuongeza idadi ya wabunge na kupata nguvu za kuwabana CCM kwenye mambo ya msingi bungeni badala ya kutumia rasilimali watu na fedha nyingi kumsapoti mtu mmoja kwenye urais ambaye matumaini ya ushindi ni sifuri

Rekebisha hayo maneno yenye rangi nyekundu........... nahisi umeyakosea!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom