Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,910
- 6,707
Hayati Mzee Benjamin William Mkapa (wa kwanza kushoto) akiwa na marafiki zake, Phillip Magani (mwenye kofia) na John Kambona (wa kwanza kulia) wakati yupo Shule ya Sekondari Ndanda (Kilomita 60 kutoka kijijini Lupaso) wakiwa na wanafunzi wa Chuo cha Saint Francis (sasa Shule ya Sekondari Pugu).