Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Kweli majebere unatumia pudendal nerve kufikiria!hebu nenda pale muhimbili kawaulize wagonjwa haya maswali halafu uone watakufanya nini. Mnakaa kushabikia upuuzi na kuleta maswali ya kizembe tu, kwanza wagonjwa watibiwe huku majadiliano yanaendelea au elitaka wagonjwa wasubiri mpaka hao madaktari watimiziwe shida zao?
Last edited by a moderator: