LWENYI
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 1,839
- 2,173
Siyo hivyo nafikiri labda haujailewa hiyo Kanuni, ni kwamba wewe kama Mwanaume na hauko kwenye 20% ya Wanaume ambao Wanawake wanataka, hauwezi kupata Mwanamke wa kuoa, kwa maana Mwanamke hawezi kukukubali!
Hakuna hiyo wanawake hawa wana njaa ya kuolewa balaa wanataka kusitiriwa hawa hali
Ni mbayaa