Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
- Thread starter
- #21
Utafiti huu unamashaka
Idadi ya wanawake nimaradufu ya wanaume
Kuoa haukutegemei sifa za ajabu....hata vijijini wanaoana..japo maisha yachini kabisa.
Na wanaoishi bila kuoa wanaume.... Wengi nikuogopa majukumu...maana ajuaye hicho kikombe kukinywa aghalabu ujiandae vinginevo nikukikwepa.
Na hapo ndipo 20% inapoingia sasa, ukweli ni kwamba Wanaume wengi wanashindwa kuoa kwa sababu hawana game na Wanawake hawamkubali Mwanaume asiye na game ndiyo maana wengi (Wanaume) huoa pale anapopata kazi ya maana vinginevyo hapati kitu labda aende kijijini kuchukuwa mdada, na hata huyo wa Kijijini pia ukiangali kwa hali ya kijijini huyu wa ktk Mjini ni 20% ya wale waishio Kijijini hivyo atakuwa amewapiga bao wale nje ya 20% Kijijini waliobakia na kuchukua mtoto, ...
