Nicodemas Tambo Mwikozi
JF-Expert Member
- Aug 13, 2016
- 663
- 1,047
Kamanda wa zamu
Wewe no muhanga wa brainwashing za Media za magharibiPutin ni jamii ya wakina Mkuruznza
kwenye google una search neno gani?Mbona hata wewe hii picha ungeweza kuiweka hapa, ungegoogle na kutuwekea hapa.
Angeweka na maelezo yaliyojitosheleza ambayo ndio yangekuwa yanazungumzia historia ya hiyo picha ndio ungesema hayo uliyoyasema.
Sijui umetumia kigezo gani?
Itakuwa Mozambique au kwenye nchi iliyokuwa inawahifadhi wapiganaji wa Mozambique (Tanzania), Maana namuona Samora Machel hapoSio Angola hapo kweli?
Sio Tanzania basi itakuwa Msumbiji.Itakuwa Mozambique au kwenye nchi iliyokuwa inawahifadhi wapiganaji wa Mozambique (Tanzania), Maana namuona Samora Machel hapo
Kwa nini sio Tanzania?, inaweza kuwa Nachingwea kaka kwenye kambi ya Frelimo, hiyo miti ya Nyuma ni Miembe au Mikorosho?Sio Tanzania basi itakuwa Msumbiji.
Hakuna historia ya Putin kuja TZ kipindi cha harakati zile..Kwa nini sio Tanzania?, inaweza kuwa Nachingwea kaka kwenye kambi ya Frelimo, hiyo miti ya Nyuma ni Miembe au Mikorosho?
Tanzania wamepita wengi, na by that time Putin alikuwa sio Maarufu
Unaweza ku search picha pia!kwenye google una search neno gani?
maana ukiandika putin in africa tayari unajua hiyo taarifa
mkuu acha wivu wa kijinga
Watu maarufu wengi walipita Tanzania sema walijulikana kwa umaarufu wao, na kuna wengine mpaka leo watu hawajuhi kuwa walishawahi kufika bongo, ni kweli haijawahi tangazwa ujio wa Putin kwa hapa Tanzania so hatuna uhakika kama ilikuwa TZ, lakIni kwa muonekano wa Samora nahisi na makamanda kadhaa wa Tanzania wapo hapo hiyo picha inaweza kuwa BongoHakuna historia ya Putin kuja TZ kipindi cha harakati zile..
Nahis ni msumbiji.. Namuona mtu km bwana samora machelSio Angola hapo kweli?
samora alikuwa anapigana tokea Tanzania,hapo itakuwa bongoSio Tanzania basi itakuwa Msumbiji.