matungusha
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 594
- 126
uTAJIRI WA NINI? sababu hata lusinde ni tajiri wa matusi
tuletee hiyo ya ukweli mkuu, tunahitaji sana kujua hili eneo pia.
Maana wengine wanaongoza kwenye utajiri wakiwa wafanyabiashara lakini kwenye ulipaji wa kodi wanazidiwa kampuni ambazo zipo nje ya '100 bora'
Jamani hii list sisi inatusaidia nini humu ndaniJe Tanzania utajiri/umasikin viwe ndo vipimo vya kupata viongozi wetu
wafuatao ni top 17 richest in Tanzania
1.Said Salim Bakresa
2.Mont oil.com
3.Fida hussein
4.Reginal Mengi
5.Rostom Azizi
6.Mohamed Dewji
7.Yusphu Manji
8.Michael Ngaleko
9.Mohammed Dharumasi
10.Nazir Mustapha Karamagi
11.All Mufuit
12.Edward Ngonyayi Lowasa
13 .Azizi Abood
14 .Nasoro Doll treavel
15 .Patel
16.Philimoni Ndisambulo
17.Freemon Mbowe
huhuhuuu tukiona linafaa tulipitishe kwenye katiba mpya
Jamani hii list sisi inatusaidia nini humu ndani