16 Texts Every Man Wishes His Woman Would Send Him

16 Texts Every Man Wishes His Woman Would Send Him

Yeah tunatuma hizo msg sana tu, ila sio kwa kila utakayekuwa nae, unapokuwa na yule mtu ambae ni soooo special yaani unajikuta tuuu unazituma tuu hizo na zaidi, yaani unajikuta tu ukizituma, that person ambae ukimuwaza tu unajikuta ukismile.
I love you baby.

Ila sio wote, mingine hata moja hapo hayastahili kutumiwa.
 
Typo=type, Stupid questions make sense than stupid mistakes, Kwanini ujijitetee ili uendelee kukosea ili tusikukosoe eti tuendeleze U great thinker.

Unajifanya mjuaji sana kumbe ni Bogus,yaani umeshindwa kuelewa neno "Typo" Aiseee unakosoa kosoa watu kwenye uandishi wakati mwenyewe ni pure div 5....Dogo hii number nyingine utaumia ,unaitwa na house girl wenu ukanywe chai.
 
Yeah tunatuma hizo msg sana tu, ila sio kwa kila utakayekuwa nae, unapokuwa na yule mtu ambae ni soooo special yaani unajikuta tuuu unazituma tuu hizo na zaidi, yaani unajikuta tu ukizituma, that person ambae ukimuwaza tu unajikuta ukismile.
I love you baby.

Ila sio wote, mingine hata moja hapo hayastahili kutumiwa.
Wacha weee, chezea kupenda unapopendwa.

Huwa napenda hako kamoment unakaa tu unamuwaza tu mtu afu unaishia kusmile. Au the moment unaona call or text yake uuuuuuh [emoji132] [emoji132] [emoji132]
 
Mnakuaga na viherehere mnooo mtu akitoa post yake hauko interested chapa lapa sio unajifanya kutoa ushauri na vipimo hapa mara awe site we unambwela hapa MMU hapa ni site, kiazi wewe changanya makalio uishie....stress zako peleka chooni

Huna Tofauti kiakili na Le Mutuz umri Mkubwa akili za kitoto,nimetoa comment yangu ipo General sijamlenga mtu yeyote nashangaa wewe na vidudu vimekunyevua kwenye mtera wako umeanza kunivaa Mimi,kwenda zako sichukui machangu niliacha kitambo tangia kill time ipo 2004.Huu mziki mzito kenge wewe utaomba poo mwenyewe kwa mods.
 
Wacha weee, chezea kupenda unapopendwa.

Huwa napenda hako kamoment unakaa tu unamuwaza tu mtu afu unaishia kusmile. Au the moment unaona call or text yake uuuuuuh [emoji132] [emoji132] [emoji132]

Yaani acha tu, ni raha iso kifani, unajihisi dunia nyingine kabisaaaa, daaah mapenzi matamu ukipenda unapopendwa.
 
Huna Tofauti kiakili na Le Mutuz umri Mkubwa akili za kitoto,nimetoa comment yangu ipo General sijamlenga mtu yeyote nashangaa wewe na vidudu vimekunyevua kwenye mtera wako umeanza kunivaa Mimi,kwenda zako sichukui machangu niliacha kitambo tangia kill time ipo 2004.Huu mziki mzito kenge wewe utaomba poo mwenyewe kwa mods.

Ngoja nkuache tu shoga kidawa endelea kutingisha kalio hapa kwenye site yako chanika ya MMU
 
Ngoja nkuache tu shoga kidawa endelea kutingisha kalio hapa kwenye site yako chanika ya MMU

Haya Bibi Bomba Endelea kuwinda Marioo wasiojitambua hapa MMU,ngoja niwashe mchuma niende site kuangalia Mafundi.
 
Kwendraaa qmamae unang'aa sharubu hapa afu wajitia una majukumu, umepewa mwaliko mwende jukwaa la majukumu huku mtoke hapa.... Bibi nmekuzalia shangazi ako mfyuuu

Kumbe wewe mkali ukichokozwa.Aisee nimechekaaa mpaka bas
 
Yeah tunatuma hizo msg sana tu, ila sio kwa kila utakayekuwa nae, unapokuwa na yule mtu ambae ni soooo special yaani unajikuta tuuu unazituma tuu hizo na zaidi, yaani unajikuta tu ukizituma, that person ambae ukimuwaza tu unajikuta ukismile.
I love you baby.

Ila sio wote, mingine hata moja hapo hayastahili kutumiwa.

Yaani acha tu, ni raha iso kifani, unajihisi dunia nyingine kabisaaaa, daaah mapenzi matamu ukipenda unapopendwa.


Huyo atakuwa anatoa hela nyingi tu hamna namna!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom