14 acres land in Moshi..Horticulture promotion

bluetooth

JF-Expert Member
Jan 12, 2011
4,402
2,550
Nina eneo la eka 14 lina hati miliki, lipo moshi kilometer 4 kutoka barabara kuu ya kwenda Dar na umbali wa kilometer 5 kutoka moshi mjini.. eneo linaangukia ktk halmashauri ya wilaya ya moshi vijijini...eneo linaitwa Yamu makaa... jimbo la vunjo.... water table is suitable for reliable water source... fertile soil.....terain of land is completely flat

ninawazo la kutransform eneo lote hilo into a horticultural farming hub..ninaomba ushauri na mawazo mbalimbali ya wadau husika ili nianzishe horiculture farm either in perishables kama vegetables , maua kama inavyofanywa arusha... au special crops kama vanilla .... nipo tayari kuingia kwenye MOU ya kutengeneza pilot project na mtu yeyote yule.. dhumuni kubwa ni kwamba tutakapofanikiwa kutransform the land into agribusiness use basi tuta promote wenye mashamba kufanya kilimo hicho halafu sisi tuta monopolize market

..... maeneo hayo yanayozunguka eneo hili ni makubwa sana ...maeneo yote hulimwa mahindi katika msimu wa mvua...

naomba nipatae ushiriki wenu katika kulitekeleza wazo hili lifikie uhalisia... na kuangalia fursa muhimu kutoka nyanja mbalimbali,

ninaamini mapinduzi ya kilimo yanahitaji ubunifu mkubwa kwanza baina ya wana jamii kabla ya kuingiza sera za siasa...

naomba uni PM kama una details yeyote unayohitaji
 
wazo zuri ndugu yangu unfortunetely iam preparing a proposal for tomatoes but in arusha, check kama na wewe unaweza fanya iyo. apo kiwanda cha darsh industries wanahitaji nyanya kwa wingi kwa ajili ya tomato sauce, wananchi wa ngarenanyuki wameshindwa kujaza icho kiwanda. infact you can do also passions and send directly to international diary au kwa azamu. fuatilia bei zao kwanza. vipi uko bei za mashamba zinasomekaje?

goodluck man of God.
 
wazo zuri ndugu yangu unfortunetely iam preparing a proposal for tomatoes but in arusha, check kama na wewe unaweza fanya iyo. apo kiwanda cha darsh industries wanahitaji nyanya kwa wingi kwa ajili ya tomato sauce, wananchi wa ngarenanyuki wameshindwa kujaza icho kiwanda. infact you can do also passions and send directly to international diary au kwa azamu. fuatilia bei zao kwanza. vipi uko bei za mashamba zinasomekaje?

goodluck man of God.

mkuu ANKOJEI... nashukuru kwa courage yako...tupo pamoja kwani ndiyo nipo kwenye early stages za ku brainstorm ili nianze mchakato mzima wa project including kuandaa business plan..kikubwa ni kwamba kwa eneo nililonalo la eka 14 na maeneo yanayozunguka sehemu hii wengi wana mashamba ya aka tatu , mbili ...yaani madogo madogo... kwa hiyo nikiweza kufanikiwa basi eneo lote la ukanda huo litakuwa ni horticultural hub.... na uwezekano wa ku explore joint market kama core business utakua mkubwa

asante na tutaendelea kupeana updates
 
mkuu ANKOJEI... nashukuru kwa courage yako...tupo pamoja kwani ndiyo nipo kwenye early stages za ku brainstorm ili nianze mchakato mzima wa project including kuandaa business plan..kikubwa ni kwamba kwa eneo nililonalo la eka 14 na maeneo yanayozunguka sehemu hii wengi wana mashamba ya aka tatu , mbili ...yaani madogo madogo... kwa hiyo nikiweza kufanikiwa basi eneo lote la ukanda huo litakuwa ni horticultural hub.... na uwezekano wa ku explore joint market kama core business utakua mkubwa

asante na tutaendelea kupeana updates[/QUOTEWa
mkuu ANKOJEI... nashukuru kwa courage yako...tupo pamoja kwani ndiyo nipo kwenye early stages za ku brainstorm ili nianze mchakato mzima wa project including kuandaa business plan..kikubwa ni kwamba kwa eneo nililonalo la eka 14 na maeneo yanayozunguka sehemu hii wengi wana mashamba ya aka tatu , mbili ...yaani madogo madogo... kwa hiyo nikiweza kufanikiwa basi eneo lote la ukanda huo litakuwa ni horticultural hub.... na uwezekano wa ku explore joint market kama core business utakua mkubwa

asante na tutaendelea kupeana updates
 
Back
Top Bottom