am -ante meridian (before midday)<br />
pm -post meridian (after midday)<br />
<br />
Asemavyo Masuke ni sawa; ukisema mid night au noon huna haja ya kuweka am au pm, unachagua kimojawapo.
am -ante meridian (before midday)<br />
pm -post meridian (after midday)<br />
<br />
Asemavyo Masuke ni sawa; ukisema mid night au noon huna haja ya kuweka am au pm, unachagua kimojawapo.
nilidhani hakuna kitu kama 12.00 am! saa sita usiku ni 00.00 am...
mi ndo maana natumia mfumo wa 24hrs,unaweza aibika. so saa sita usiku ni 0000 hrs (zingatia,hakuna nukta), saa tano usiku ni 2300 hrs (hii hrs lazma uandike)