sio vitabu vya kusoma ili kuwa kama Bakresa.Check na Bakresa kama amesoma chochote kati ya hivyo alafu uni tag
Mkuu unakua entrepreneur ili mwisho wa siku iweje? siyo kuwa na successful businesses? au unafanya ili upate hela za kula? then why reading all those literature?sio vitabu vya kusoma ili kuwa kama Bakresa.
Sawa Mkuu, ila mwisho wa siku hizo zinabaki kuwa ni theory tu, ingia mtaani ndiyo utajua kama zina apply ama layato hayo yanafanyika kwa nia ya kujua ABC za namna ya kuwa intaprinyuwaaa mwenye mafanikio.
nimesoma vitabu na niko mtaani nafanyia kazi na ninaona ziko applicable.Sawa Mkuu, ila mwisho wa siku hizo zinabaki kuwa ni theory tu, ingia mtaani ndiyo utajua kama zina apply ama la
Check na Bakhresa kama amesoma chochote kati ya hivyo alafu uni tag
Kazi ipo.
Mtaani zipo mbona hizo theory kiongozi, mara nyingi inashauliwa ujielimishe juu ya unalolifanya ili kulifanya kwa ubora zaidi.Kama nimwalimu wa Physics basi soma vitabu vya physics vingi, Kama ni engineer wa mitambo soma vitabu vinavyohusiana moja kwa moja na unachokifanya.Sawa Mkuu, ila mwisho wa siku hizo zinabaki kuwa ni theory tu, ingia mtaani ndiyo utajua kama zina apply ama la
nimesoma vitabu na niko mtaani nafanyia kazi na ninaona ziko applicable.
Mkuu unakua entrepreneur ili mwisho wa siku iweje? siyo kuwa na successful businesses? au unafanya ili upate hela za kula? then why reading all those literature?
Entrepreneurship is not easy and knowledge can be a decisive factor whether you fail or succeed.
Find below a list of books which would provide immense value for all existing and aspiring entrepreneurs.
1. The 4-Hour Workweek by Timothy Ferriss
2. The Fire Starter Sessions by Danielle La Porte
3. The $100 Startup by Chris Guillebeau
4. Never Get a Real Job by Scott Gerber
5. Cashflow Quadrant: Rich Dad’s Guide to Financial Freedom by Robert Kiyosaki
6. Built to Last: Successful Habits of Visionary Companies by Jim Collins
7. Lean Startup: How Today’s Entrepreneurs Use Continuous Innovation to Create Radically Successful Businesses by Eric Ries
8. Like a Virgin: Secrets They Won’t Teach You at Business School by Richard Branson
9. Screw Business as Usual by Richard Branson
10. Smarter, Faster, Cheaper by David Siteman Garland
Read More: Best Entrepreneur Books Of All Time : 12 Books Every Entrepreneur Should Read
Good to hear thatnimesoma vitabu na niko mtaani nafanyia kazi na ninaona ziko applicable.
Sawa Mkuu, ila mwisho wa siku hizo zinabaki kuwa ni theory tu, ingia mtaani ndiyo utajua kama zina apply ama la
Hata usome vitabu 5000 kama huchukui hatua ni bure tu,ni sawa na usome vitabu hata 15 kuhusu namna ya kujifunza kuogelea usipoingia kwny maji uka-practise hizo theories ni kazi bure.Unavyosema "theory" unamaanisha nini? Kwa mfano mtu anaandika kitabu kinahusu namna alivyoanzisha kampuni yake (mf ipo mingi tu namna Coca-Cola ilivyoanzishwa, Facebook n.k) kitabu kinaandikwa ili wewe ujifunze mawili matatu unayoweza kutumia kwenye biashara yako / maisha yako sasa wewe unasema theory, theory kivipi wakati mtu ameishi maisha halisi kisha ndo akaamua kuyaweka kwenye maandishi?, huu UJINGA unaouonyesha hapa ni wa kiwango cha standard gauge!
Sent using Jamii Forums mobile app