Sisi tulishawahi kuvamiwa,wakati wanahangaika hao wezi kuingia ndani nikapiga simu polisi majibu nilioambiwa”Oohh gari halipo limeenda doria”
Nikavuta subira kama dk6 hivi nikapiga tena kisha nikawaambia hadi muda huu wameshauwawa majambazi sita,walivoskia hivyo wakaja fastaaa,!!!!
Kufika mtaani kwetu tu wakaanza kuziskia risasi na wao wakajibu kwa risasi
Hio ikasaidia wale wezi wakakimbia
Kulipokucha tuliitwa kituoni kutoa maelezo na OCD akaniuliza kwann jana uliwadanganya maaskari waliopo zamu kuwa majambazi wameuwawa??
Nikamjibu “Walivosikia wekufa ndio wakaja Fastaa,,”[emoji1321]