Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,878
Hakika Nitakuwa mchoyo wa fikra kama sitomshukuru Mwenyezi Mungu swahanaa wa taala mjaza neema ndogo ndogo na kubwa ndefu na fupii nene na nyembamba hasa kwa wale wasiomwaminiiii
Napenda kumshukuru Mungu kwa kumleta Mamayangu Dunian na kunileta mimi leo hii nikiwa na afya njema ukiacha
mbinde binde za jf hasa kwa wale wasiojua kichina nao napenda kushukuru Mungu kwa kuwaleta Jf
Namshukuru Mungu kwa kunipa familia bora na si bora familia maana kuna wenye shuguli humo ndani wanazijua wenyewe lakini mie mara moja moja tunazinguana na maisha ya kusameheana yanaendeleaaaa nakupa tano mama Pdidy kwa uvumilivu wako na Mungu akutie Nguvu
ntakuwa mchoyo wa shukrani kuwashukuru wana Jf wote wanaonielewa na wasionielewa kumbukeni hata wanaonielewa nao walianza kama ninyi mwisho wote mtanielewa tu ipo siku kwenye dini tunasema "kiila mwenye kusubiri yu Pamoja na mwenyezi Mungu ""naomba Mungu awe nanyi mpaka mwisho wa Dunia nanyi nawapa shukrani na kuwakaribisha kwenye sherehe yangu ingawa itakuwa Chumbani na mama Didy mnaruhusiwa kusherehekea kitigo pesa/mpesa ama kiairtel money soon matola atawaletea namba ya kutuma Mungu awabariki pia
Mwanakijiji/invisible/mex... napenda kufurahi bday hiii pamoja nanyi nikiwafurahia kwa jinsi mnavyopambana kwenye majukwaa yetu bila kuacha kuwaadhibu wale wasiotenda matendo mema nanyi Mungu awabariki pia ...cc paw .cc mods nanyi nawatakia maisha mema na kama kuna aliepewa bani ya mwaka kwa sherehe hii naomba mumuangalie upya adhabu yake na Mungu awabariki
ma lovely aunt Mamndenyi
cc Hoe jamani najua kiuchumi tumeshaingia tar 10 kati kati ya mwezi lakini unaruhusiwa kutoa kidogo ulichonacho na Mungu atakubariki pia ...wengine mnaweza kumsindikiza Hoe kwa kutuma chochote kitu
asilimi 50 ama 50 % itaenda kwa wale wote watakaopatikana na Ebola HAPA Tanzania
kumbuka mnachotoa mnatoa kwa ajili ya wagonjwa watarajiwa
Napenda kumshukuru Mungu kwa kumleta Mamayangu Dunian na kunileta mimi leo hii nikiwa na afya njema ukiacha
mbinde binde za jf hasa kwa wale wasiojua kichina nao napenda kushukuru Mungu kwa kuwaleta Jf
Namshukuru Mungu kwa kunipa familia bora na si bora familia maana kuna wenye shuguli humo ndani wanazijua wenyewe lakini mie mara moja moja tunazinguana na maisha ya kusameheana yanaendeleaaaa nakupa tano mama Pdidy kwa uvumilivu wako na Mungu akutie Nguvu
ntakuwa mchoyo wa shukrani kuwashukuru wana Jf wote wanaonielewa na wasionielewa kumbukeni hata wanaonielewa nao walianza kama ninyi mwisho wote mtanielewa tu ipo siku kwenye dini tunasema "kiila mwenye kusubiri yu Pamoja na mwenyezi Mungu ""naomba Mungu awe nanyi mpaka mwisho wa Dunia nanyi nawapa shukrani na kuwakaribisha kwenye sherehe yangu ingawa itakuwa Chumbani na mama Didy mnaruhusiwa kusherehekea kitigo pesa/mpesa ama kiairtel money soon matola atawaletea namba ya kutuma Mungu awabariki pia
Mwanakijiji/invisible/mex... napenda kufurahi bday hiii pamoja nanyi nikiwafurahia kwa jinsi mnavyopambana kwenye majukwaa yetu bila kuacha kuwaadhibu wale wasiotenda matendo mema nanyi Mungu awabariki pia ...cc paw .cc mods nanyi nawatakia maisha mema na kama kuna aliepewa bani ya mwaka kwa sherehe hii naomba mumuangalie upya adhabu yake na Mungu awabariki
ma lovely aunt Mamndenyi
cc Hoe jamani najua kiuchumi tumeshaingia tar 10 kati kati ya mwezi lakini unaruhusiwa kutoa kidogo ulichonacho na Mungu atakubariki pia ...wengine mnaweza kumsindikiza Hoe kwa kutuma chochote kitu
asilimi 50 ama 50 % itaenda kwa wale wote watakaopatikana na Ebola HAPA Tanzania
kumbuka mnachotoa mnatoa kwa ajili ya wagonjwa watarajiwa