Binti wa zamani ndio mtu aliyefany nianze kufatilia jf mwaka flan maana nilikua kila niki search taarifa flani kuhusu ni jinsi gani naweza Jenga taifa langu basi moja kwa moja wana nileta katika uzi wake..
Napenda kumshukuru sana huyu mtu sijui nitapata wapi watoa maudhui wengine kama hawa ili tuelimishwe zaidi..
Ushauri...
Kama kijana jf napenda sana uongozi wa jf akiwepo max amfikilie my mamy aiseee she is genius π₯°π₯°π₯°π₯°π₯°π₯°ππππ₯°π₯°π₯°ππ love you my mom
Kaka karibu POMBENi vile tu nakuheshimu ndugu
Bila shaka yoyote mkuu.
Tatizo hapo kuna Malcom huyu mwamba ushawahi kupitia nyuzi zake??
nJamani kama mzee wa USA Nyani Ngabu hayupo shindano batili..
We Castle_Lite muongeze Nyani ana nyuzi nzuri sana huyu memberβ¦!!
Pigia kura Member bora wa JF kwa vigezo.
Mimi nimeona tuanzie kuwapigia kura hawa. Pendekeza nan aongezweKwa List
Disclaimer: Haya ni maoni yangu binafsi.
Na pia sio ushindan na hakuna zawad ila ni Kuwapa Motisha kwa kuwatambua na kuthamini michango yao.
Kwangu JF wote ni bora.
Ushauri tu;
Mchakato makini na mgumu kwenye jambo linalohitaji ushindi wa kura; ni kupata majina sahihi ambayo yana stahili kupigiwa kura; sasa kama wewe utaandika majina yako mwenyewe; halafu uwatake watu takriban laki tano wayapie kura; Naona kama kuna kitu hakipo sawa sawa...
Tengeneza na category zingine, member wenye matusi, majibu mabaya, wenye nyodo, wenye kashfa, wapole, wasio na jazba, wacheshi, member wasiokuwa maarufu lakini wamo humu
HahahahaππππBinti wa zaman anaondoa stress hao wengine wanaleta stress , kupanga ni kuchagua bwashee
Hapa nauanza mwaka mpyaaaKaka karibu POMBE
Hakua active alikua anapitia pitia tuu...Aseee Binti wa zamani nimeanza kumuona around mwaka huu ama jana mwishoni ...nimeangalia ID yake kumbe ni member mkongwe lakini sikuwahi kumzingatia
Ama hakuwa active