darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 2,187
- 4,552
Dr mama Amoni anakosaje kwenye huu uchaguzi
Hizo thread zake sio mchezoBinti wa zamani anatisha sana ,mada zake zinalegeza ubongo maisha ni haya haya tu bwashee
Mimi nimezipigia nyeto kabisa bwasheeHizo thread zake sio mchezo
😂😂😂Kura kwa nani tenaXiao qui shui kura yako tafadhali
Binti wa zamani😂😂😂Kura kwa nani tena
Pale kuna watu watatu.
Alaaaaa ndo michezo yako kumbe😆😆😆Mimi nimezipigia nyeto kabisa bwashee
Duh mkuu jitahidi uwezavyo utoke kwenye hii kitu. Ujue unajifunga na kujiangamiza mwenyewe hili sio suala la kujivunia as a men.Mimi nimezipigia nyeto kabisa bwashee
Binti wa zaman anaondoa stress hao wengine wanaleta stress , kupanga ni kuchagua bwasheePale kuna watu watatu.
Mshana jr
Hamis77
Binti wa zamani
Bwashee sijitoi kwenye pombe Wala nyeto ,tafuta wa kumshauri tu mangiDuh mkuu jitahidi uwezavyo utoke kwenye hii kitu. Ujue unajifunga na kujiangamiza mwenyewe hili sio suala la kujivunia as a men.
Bwashee sijitoi kwenye pombe Wala nyeto ,tafuta wa kumshauri tu mangi
Sawa bwashee kila la heri kwenye hizi starehe zako.Bwashee sijitoi kwenye pombe Wala nyeto ,tafuta wa kumshauri tu mangi
Sawa bwashee karibu bia na nyama choma hapaSawa bwashee kila la heri kwenye hizi starehe zako.
Huu uzi nafanya kama sijauona.. Nadhani hali iliopo inazungumza yenyewe.. Sina uhakika na wapiga kura wala mtoa maada. Happy new year in advance.
Shukrani bwashee wew endelea kula bata.Sawa bwashee karibu bia na nyama choma hapa
Hahaha nyeto Kuna mrembo anataka nikomboa humu bwashee 😅Ila bro kwenye nyeto jitoe 😂😂😂😂😂.
Ila kimea piga tu.
Naunga Mkono Hoja kwa Asilimia 💯Kuna majina yalitakiwa yawepo hapo ila inaonekana tume siyo huru.. mtu kama Tlaatlaah anakosaje hapo? Nimepigia kura hiyo Mtibeli