sio kosa kununua kitu halafu ukauliza nitauza wapi, tambua kwamba mtu yeyote anatafuta mahali kwenye bei nzuri kuliko pengine, ndiyo sababu ya kuuliza.
kama suala ni kuuza tuu unaweza ukauza hata kwa bei ya chini kuliko ulionunulia, lakini ninauliza ili kupata bei juu kidogo na bahati nzuri hapahapa wamejitokeza watu na kutaja bei, hivyo walau hata nikikaa katika meza ya mapatano ninajua mipaka ya bei.
kuuliza sio ujinga, inaongeza maarifa !