ziwa tanganyika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    Meli yazama ziwa Tanganyika na kuua wawili

    Wawili wafariki kwa ajali ya Meli ndani ya ziwa Tanganyika. Watu wawili akiwemo kapteni wa MV. Tanganyika wamefariki kwenye ajali ambayo imetokea usiku wa tarehe 16 juni 2023 Meli hiyo ambayo ilikua ikitokea Kigoma nchini Tanzania kuelekea Kalemi nchini RDC ikiwa na mzigo wa mafuta ya petroli...
  2. Justine Marack

    Uovu ziwa Tanganyika. Lifungwe haraka

    Kabla ya utekelezaji wa mkataba wa kufunga Ziwa Tanganyika, lazima tuyajue mambo kadhaa Kwa uhalisia wake. Mwambao mwa ziwa Tanganyika mkoani Kigoma kuanzia Kata ya Kagunga( Mpakani) Mpaka Kata ya Kalya Kigoma kusini hapo ndipo utakuta makundi ya wahamiaji/ wavuvi Haramu kutoka Burundi na...
  3. Lady Whistledown

    UPDATE: Serikali yaahirisha kufungwa kwa Ziwa Tanganyika

    Zikiwa zimebaki siku 10 kabla ya Tanzania kuanza kutekeleza makubaliano ya kusimamisha shughuli za uvuvi katika Ziwa Tanganyika kwa Miezi 3, Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema Serikali imesitisha zoezi hilo ili kuruhusu ushirikishwaji wa Wananchi na kupatikana kwa...
Back
Top Bottom