Yoweri Kaguta Museveni (born 15 September 1944) is a politician who has served as President of Uganda since 1986. Museveni was involved in rebellions that toppled Ugandan leaders Idi Amin (1971–79) and Milton Obote (1980–85) before he captured power in 1986.
In the mid- to late 1990s, Museveni was celebrated by the West as part of a new generation of African leaders. During Museveni's presidency, Uganda has experienced relative peace and significant success. Museveni's presidency has been marred by involvement in the Congo wars, the Rwandan Civil War, and other Great Lakes region conflicts; the rebellion in Northern Uganda by the Lord's Resistance Army, which caused a humanitarian emergency; and the suppression of political opposition and constitutional amendments scrapping presidential term limits (2005) and the presidential age limit (2017). On 16 January 2021, the electoral commission of Uganda announced that Museveni won re-election for a sixth term with 58.6% of the vote, despite allegations of electoral fraud, violent suppression of the opposition, and human rights abuses.
The National resistance Movement Secretary General Hon. Richard Todwong has confirmed that Gen. Yoweri Museveni has endorsed CEC resolutions confirming Anita Among and Thomas Tayebwa as Speaker and Deputy Speaker respectively as NRM candidate for upcoming speakership race for the 12th...
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni akiwasili viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam na kupokelewa na mwenyeji wake Rais Samia Suluhu ambapo wanakutana kujadili mambo mbalimbali ya kiuchumi na maendeleo baina ya Tanzania na Uganda.
Rais Museveni yupo nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku...
Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika amepongeza mwenendo wa uchaguzi nchini Uganda na kumpongeza Rais Yoweri Museveni kwa kuchaguliwa tena.
Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, Mheshimiwa Mahmoud Ali Youssouf, amepongeza namna uchaguzi ulivyoendeshwa nchini Uganda na kumpongeza Mheshimiwa...
Tume Huru ya Uchaguzi imemtangaza Rais Museveni, mwenye umri wa miaka 81, kuwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu wa Uganda uliofanyika Januari 15, 2026, akipata asilimia 71.6 huku mpinzani wake Bobi Wine akishika nafasi ya pili kwa asilimia 24.72 ya jumla ya kura halali zilizopigwa, na kuendeleza utawala...
Kufikia tarehe 16 Januari 2026, matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Uganda bado yanaendelea kuhesabiwa kufuatia upigaji kura uliofanyika Januari 15. Taarifa rasmi zinatarajiwa kutolewa ifikapo Januari 18.
Matokeo ya awali kutoka vituo 133 vilivyojumlishwa yanaonyesha Yoweri Museveni (NRM)...
Wananchi wa Uganda walipiga kura Alhamisi katika uchaguzi wa kitaifa uliojaa mvutano, kufuatia kampeni iliyokuwa mara nyingi na vurugu pamoja na kuzimwa kwa mtandao, huku Rais Yoweri Museveni akitafuta kuongeza muda wa utawala wake kuingia katika muongo wa tano.
Museveni aliwaambia waandishi wa...
Jana Kuna video nimeona Gen Z wa Uganda yaani wana vibe la hasira wakimshangilia Bob Wine
Aisee hiki ni kipindi kibaya sana Kwa majizi na madiktekta duniani
Yaani vijana wanawakataa hadharani.
Fikiria vijana wako radhi wauwawe ila sio kukubali kuendeshwa na diktekta kitawaka hapo Uganda kesho
Mwanamke mwenye umri wa miaka 28, Rose Ajiko, amefariki dunia baada ya kukanyagwa katika msongamano wa watu wakati wa kugombea fulana za NRM wilayani Soroti. Tukio hilo lilitokea Jumamosi Januari 10, 2026, katika mkutano wa kampeni wa Mbunge wa Kaunti ya Soroti, Patrick Aeku, uliofanyika Shule...
Polisi nchini Uganda wamemkamata raia mmoja pamoja na wafanyakazi wawili wa Tume ya Uchaguzi kwa tuhuma za kumiliki vifaa vya uchaguzi, ikiwemo fomu 862 zenye taarifa muhimu za wapiga kura na fomu 83 zinazorekodi wasimamizi wa uchaguzi waliopokea vifaa hivyo.
Aliyekamatwa ni Matovu Micheal...
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ametoa wito kwa mataifa ya Afrika kuungana kijeshi na kimkakati ili kulinda usalama wa bara hili, akidai kuwa ingawa mataifa makubwa kama Marekani yana nguvu kubwa angani na baharini, Afrika inaweza kuwa na faida kubwa katika vita vya nchi kavu.
Akizungumza na...
Presha ya uchaguzi imekuwa kubwa sana nchini Uganda huku wananchi wakionesha kuchoka na rais wa wa tangu mwaka 1986 Mzee Museveni.
Siku ya uchaguzi ni 15 January 2026 na sioni ikiisha salama kama ilivyozoeleka,
Museveni ameshatoa onyo kuna risasi nyingi kuzidi waandamaji, tayari kajiandaa kwa...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Jumuiya za Ukanda wa Maziwa Makuu na Nchi Wanachama wa Mkataba wa Amani, Usalama na Ushirikiano kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na eneo la...
dkt. emmanuel nchimbi
dkt. nchimbi
emmanuel nchimbi
gani
jamhuri ya muungano
jumuiya
kabila
makamu wa rais
maziwa makuu
museveni
nchi
nchimbi
rais wa jamhuri
wewe
yoweriyowerimuseveni
Rais Yoweri Museveni ametoa onyo kwamba mataifa ya Ulaya yanaanzisha vurugu na machafuko katika eneo la Afrika Mashariki, akiwatuhumu kwa kuwapotosha vijana nchini Tanzania na mataifa mengine jirani kwa lengo la kuleta ukosefu wa utulivu na kudhoofisha juhudi za maendeleo ya viwanda na mafuta za...
Wakuu,
Nilikuwa nilipitia post ya Museveni akiwa anampongeza Samia kwa kushinda Urais na kupitia hiyo post nimeona Watanzania wametuma salamu mbili tatu hapo
Uzuri wa Watanzania siku hizi wanafuatilia vitu na wanajua what they are talking about.
Ni aibu sana kwa nchi ambayo ilikuwa ni kitovu...
Uganda president Yoweri museveni says this is the last time he is vying for presidency in Uganda, urges Ugandans to come in large numbers and vote for him for the last time.
Mfanyabiashara wa Sudan aliye na uraia wa Uingereza, Mo Ibrahim, amewataka Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania na Rais Yoweri Museveni wa Uganda waache kutumia vyombo vya dola kukandamiza wapinzani
Akizungumza katika hafla ya Ibrahim Governance Weekend huko Marrakech, Morocco, Mo alikemea...
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesaini marekebisho ya Sheria ya Jeshi la Ulinzi yanayoruhusu raia kuhukumiwa na mahakama za kijeshi katika mazingira maalum.
Serikali imesema sheria hiyo inalenga kuimarisha usalama wa taifa, huku wakosoaji wakisema sheria hiyo inakiuka uamuzi wa Mahakama ya...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewasilisha ujumbe Malumu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Gen. Yoweri Kaguta Museveni Entebbe, Uganda. Tarehe 13 Mei...
Wakuu,
Askari wa Usalama wanaomlinda Rais wa Uganda Yoweri Museveni walimzuia mwanaume asiyetambuliwa aliyekuwa akijaribu kumkaribia Rais Museveni katika viwanja vya Msikiti wa Mbogo wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea wa NRM, Faridah Nambi anayewania ubunge katika jimbo la Kawempe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.