Hii mechi unaanza kuichambulia wapi hasa kwa upande wa Yanga ? Maarifa hakuna , wapo slow sana , hakuna ubunifu , pasi zisizo na ufanisi , ni kama vile walishtukizwa kwamba leo kuna mechi na nafikiri hata Club Africain hawakuamini macho yao jinsi gani wamerahisishiwa mechi
✍🏻Shape yao ile ile...