yanga sc

Young Africans Sports Club is a football club based in Jangwani, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1935, the club play their home games at the Benjamin Mkapa Stadium and the Uhuru Stadium.
Nicknamed "Wananchi" (Citizens) or "Yanga" (Young Boys), Young Africans is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Simba. The club has won 22 league titles and four domestic cups, and have participated in multiple CAF Champions League editions. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship five times.
The club was popular among Africans, and became a symbol of the anti-colonial movement. Young Africans became associated with nationalists and freedom fighters, and inspired the political party TANU to adopt yellow and green as their primary colours.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Kama Singida Black Stars wameamua kuipeleka Yanga Zanzibar basi wapeni kombe lao tena Yanga, kinachoendelea sasa hivi ni kiinimacho

    Uwanja wa Liti ni mgumu sana na kwa aina ya wachezaji wa Singida, Yanga hakuwa na uhakika wa kutoboa mechi hiyo, Singida wametoa sare moja t na JKT na wote aliokutana nao amewaua, wana wachezaji wenye uwezo wa kupambana na klabu yoyote ile nchini, hivyo gemu ingechezwa Liti kule kwao mkubwa...
  2. kipara kipya

    TFF wasipokuwa makini na marefa Yanga atakuwa bingwa bingwa mfululizo!

    Inatia kinyaa kuangalia mpira wa bongo na vile hakuna V.A.R ndio kabisa mambo shaghalabaghala,nimefuatilia hizi mechi mbili mfululizo za Yanga waamuzi wote wana ajenda za kuipa Yanga ubingwa sasa kwanini yanga watumie gharama kusajili ili hali njia ya mkato ipo haileti picha nzuri kwa ligi...
  3. uhurumoja

    Singida Black Stars kupeleka mechi Zanzibar ni dhulma kubwa sana kwa Wanasingida.

    Naangalia hapa mechi ya mvuto na Raha wanayoangalia wanachuga na nakumbuka kuwa hizi Raha wanasingida watazikosa due to unwise decision made by their leaders. Imagine wao wataishia kuziona team ndogo tu ambapo watakosa mapato mengi sana kama mkoa
  4. Mkalukungone Mwamba

    Full Time: Coastal Union 0-1 Yanga SC | NBCPremierLeague | Sheikh Amri Abeid | Novemba 26, 2024

    Coastal Union VS Yanga SC NBCPremierLeague Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Tarehe: Novemba 26, 2024 Muda: Saa 10:00 jioni Mechi imeanza karibu kupata burudani ya Soka
  5. vibertz

    Takwimu za kocha Gamondi akiwa Yanga hadi sasa

    Hizi ni takwimu katika mashindano rasmi tokea akabidhiwe timu ya Yanga msimu wa 2023/2024 ndani ya dakika 90 (Ngao ya jamii, klabu bingwa, ligi kuu na kombe la FA) Michezo ya ngao ya jamii ni 4: kushinda 3 sare 1 kufungwa 0 Michezo ya klabu bingwa ni 16: kushinda 10 sare 4 kufungwa. 2...
  6. Waufukweni

    Simba na Yanga zang’ara kwenye Tuzo za CAF, Zawania Klabu Bora ya Mwaka 2024

    Wakuu vilabu vyetu vinaubonda mwingi Afrika!. Klabu za soka za Simba na Yanga za Tanzania, zimetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwenye orodha ya klabu 10 zinazowania tuzo ya Klabu Bora mwaka 2024 kwa upande wa wanaume Klabu hizi zimekuwa na mafanikio makubwa katika mashindano ya...
  7. Labani og

    Eng Hersi ashinda tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango zaidi Africa

    Rais wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng. Hersi Said ameshinda Tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango kwenye maendeleo ya mpira wa miguu barani Afrika. Shamrashamra za kutunuku tuzo hizi za Nigeria-France Sports Awards, zilifanyika juzi jijini Paris, Ufaransa na...
  8. kavulata

    Kama haki ingetendeka Simba wangekuwa na pointi 3 tu mpaka sasa

    Mechi 2 za kwanza walipangiwa timu ambazo zilikuwa hazijakamilisha usajili wao, mechi ya Dodoma jiji walipewa goli la hovyo, mechi dhidi ya Tanzania Prisons Samson Mbangula aliangushwa ndani ya penati box wakanyimwa penati, wangetoka sare.
  9. Waufukweni

    Yanga yapeleka msiba mwingine Msimbazi, yautaka Ubingwa wa Afrika

    Afisa habari wa klabu ya Yanga Ally Kamwe amesema: "Nataka niwaambie tu Yanga hii bado, Januari kutakuwa na ongezeko la mchezaji mwingine wa kigeni. Kwa hiyo haijakamilika, tunahitaji kuchukuwa ubingwa wa Afrika" "Huyo mchezaji aliyemsema Rais Hersi tumemleta alikuwepo uwanjani katika mchezo...
  10. R

    Amazing: sub iliyowapa ushindi Yanga

    Sub ya maana kabisa hii. ##Usilolijua sawa na usiku wa Giza.
  11. gonamwitu

    Yanga timu mbovu haiwezi kushinda bila timu pinzani kupewa kadi nyekundu. Simba timu bora imeshinda bila nyekundu

    Nina mashaka na timu yangu ya utopolo a.k.a nyuma mwiko a.k.a kayoko fc kwanini hatuwezi kushinda bila kadi nyekundu? Mbona wenzetu simba wanashinda bila kadi nyekundu? Hivi kweli tunaweza kumfunga MC Alger au Al Hilal? Au Al Ahly au Esperance? Mi namchukia sana injinia wa mchongo Hersi kwa...
  12. mdukuzi

    Msimu uliopota pekee mechi za ligi kuu za Yanga zimeniingizia milioni 8 kupitia betting

    Kuna watu wanashangaa vijana kushabikia mpira kuliko siasa. Hii ni ajira isiyo rasmi, kwako kijana usiye na kazi,kila mechi ya ligi weka mzigo hata laki tano hukosi laki faida Hii ni kwa mechi za yanga tu na uweke mechi moja tu,maana ushindi ni asilimia 90. Kama wanahonga waamuzi au wapinzani...
  13. S

    Diarra: Mechi yangu bora ni hii ya juzi

    Huwa naangalia mechi za Simba, nawajua, kwahiyo nilimuona anavyocheza na nilifahamu akipata mpira eneo lile atafanya nini, nilijua ataenda kushoto na sikuwa na presha. "Nilivyookoa sikuhama eneo nikasimama vile vile nilijua mpinzani atapiga nikaokoa tena" Mechi yangu bora ya Simba na Yanga...
  14. Mkalukungone Mwamba

    Yanga SC 2 - 0 JKT Tanzania | NBC Premierleague | Azam Complex | 22.10.2024

    Kivumbi kingine kwa timu ya Wananchi Yanga SC katika ligi kuu ya NBC leo tena kuondoka na alama tatu? 🏆 NBC Premierleague ⚽️ Young Africans SC🆚JKT Tanzania 📆 22.10.2024 🏟 Azam Complex 🕖 1:00 Usiku Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimeanza karibu kupata burudani ya soka Dakika, 36 mpira bado...
  15. kavulata

    Simba wanaungua ugonjwa wa lose of insight, hawaponí

    Lose of insight ni ugonjwa ambao mgonjwa hajui kama anaumwa na hajui kama anaumwa nini, hivyo hatafuti matibabu bila watu wengine kumsaidia. Simba hawaamini kama Yanga ni Bora pamoja na kucheza finali ya CAF confederation, kucheza robo finali CAF champions, kutoka sare na Mamelods, kucheza na...
  16. Hussein Massanza

    Simba inadhaminiwa na GSM kimya kimya?

    Naanza kupata mashaka. Inawezekana Simba nayo inadhaminiwa na makampuni ya GSM kimya kimya. Kwanini kila wakicheza na Yanga wanafungwa? Hii ni mara ya nne mfululizo hawapati matokeo. Nasema hivi kwa sababu imejengeka dhana kwamba timu zote zinazofanya biashara na GSM zinagawa points kwa Yanga...
  17. Tajiri Tanzanite

    Hivi siku akatawala Rais ambaye ni mshabiki wa Simba atakubaliana na siasa uchwarwa kwenye mpira wetu

    Hapo vip!! Binafsi mimi nikiwa Rais alafu nimsikie waziri anayesema yanga ni timu ya serikali,nitamtembeza kichura kutoka Dar es salaam mpka kigoma. Kwanza atanikumbusha haya machungu ya namna Simba ilivyohujumiwa kwa mpira ambao umekaa kisiasa kabisa. Lakini pia nitamrusha kichura kwasababu:-...
  18. MwananchiOG

    Hivi mlitegemea timu ya Shirikisho imfunge timu inayoshiriki Klabu Bingwa Afrika?

    Inashangaza sana baadhi ya mashabiki wa Simba kutupa lawama kwa mwamuzi wa mchezo wengine wakitoa lawama kwa serikali, Swali la msingi ambalo wanajisahaulisha, Hivi kweli walikuwa serious wakitarajia kuifunga Young africans? Wanapaswa kushukuru mbinu aliyoingia nayo kocha wa Yanga (kuamua...
  19. de Gunner

    Derby ya Kariakoo isiamuliwe na Mtanzania tena

    Though league yetu bado iko nyuma sana katika aspect ya referees. Ila isiwe hadi kwenye Dabi... makosa yaleyale na hata hao referees tunaodhani hawawezi kukosea? Mechi ya juzi tumenyongwa wanasimba... tuichukulie Dabi serious, especially kama tunaamini ni ya 3 kwa bora africa. Vilabu vyetu ni...
  20. Tajiri Tanzanite

    Nimethibitisha juzi tarehe 19.10.2024 Yanga hana uwezo wa kumfunga Simba ila refa ndio anaweza kumfunga Simba

    Hapo vip!! Sina maneno mengi ila mpira umeonekana yanga alizidiwa kila kona na Simba. Na Simba tumeona amezulumiwa bao,nasema amezulumiwa kwasababu kama Kayoko anaweza kuruhusu mpira uliotoko nje kuchezwa na kuhalalisha goli,kwanini aliona lile bao la Simba ni Offside? Lingine kwa mujibu wa...
Back
Top Bottom