Nissan X-trail imekataa kuwaka, haitupi spark kwenye cylinder, mashine inasema hakuna error code yoyote

RobyMi

JF-Expert Member
Mar 4, 2012
848
862
Habari wanabodi

Nna Nissan X-trail, haijawahi kuniletea shida yoyote kabisa, ila mwezi mmoja kabla engine ili-heat kwa uzembe wangu mwenyewe, nikabadilisha head, gari ikarudi sawa, nikatembelea zaid ya mwezi, kama wiki moja iliyopita taa ya check engine iliwaka, nikaona isiwe tabu, nikapeleka garage, ikasoma Valve Timing, jamaa wakashauri timing belt haijaka sawa, ikafunguliwa ikarudishwa sawa,

Baada ya kumaliza service, tukatest gari ikaonekana iko sawa, baada ya kumaliza kutest, tukashauriana
engine OIL iongezwe kidogo, tukanunua lita moja ikaongezwa, baada ya kuongezwa, gari ikazimwa, kuja kuwasha ikagoma kabisa, mashine ikasoma CP ( Crankshaft position sensor ), zikabadilishwa na code ikafutika lakini bado imegoma kuwaka, issue ni kwamba haitupi spark kwenye cyclinder, tumeshajaribu kubadilisha hadi control unit lakini bado imegoma

Kwa wale wataalam ambao mmeshakutana na tatizo kama hili au mwenye ushauri wa nini tunaweza kufanya, nakaribisha maoni.!
 
Xtrail hii gari Ina sensor kibao si gari ya kuaminika maana anytime inazingua sensor check sensor ya air cleaner Kama uliigusa kwa mkono haiwaki gari hii Ni most delicate mzee ukijichanganya kuigusa utalia nenda kaazime hii sensor then utanipa jibu kabla ya kununua mpya
 
Xtrail hii gari Ina sensor kibao si gari ya kuaminika maana anytime inazingua sensor check sensor ya air cleaner Kama uliigusa kwa mkono haiwaki gari hii Ni most delicate mzee ukijichanganya kuigusa utalia nenda kaazime hii sensor then utanipa jibu kabla ya kununua mpya
Hahaha. .. una maana ina sensor nyingi kama -max 8 ya 737 ?
 
U napeleka gari kwa mafundi gonga unategemea nini, hata oil umeweka sijajua ni ipi, lita moja!?? Oil ya nisaan ni kuanzia 60k kwa dumu ya lita 4
Nissan its the best car mshua wangu ako nayo mwaka wa 6 huuu,
Hio garini siyo ya masikini tambua hilo.
 
Fuel pump
Fuel filter (uchafu)
Brush za starter motor
Spark plugs (uchafu/ubovu)

Kama hivyi vyote viko sawa basi sensors ndo zinaleta shida. X trail shida yake huwa iko kwenye sensors na control box otherwise ni gari nzuri sana.
 
Fuel pump
Fuel filter (uchafu)
Brush za starter motor
Spark plugs (uchafu/ubovu)

Kama hivyi vyote viko sawa basi sensors ndo zinaleta shida. X trail shida yake huwa iko kwenye sensors na control box otherwise ni gari nzuri sana.
Ugonjwa mkubwa wa nissan ni mmoja tuu gari kuchemsha usipokuwa nayo makini ..kama ni dereva wa kwenda mbele unaendesha bila kuangalia dashboard ndio itakusumbua..coz ikichemsha ujue na sensor ya camshaft sensor na crankshaft sensor nazo zinakwenda na maji..mwishowe ikizingua kwenye head basi kuna majanga kibao hapo yataendelea kusumbua..ukiniuliza gari nzuri kwa fundi kutengeneza kati ya toyota na nissan nitakwambia nissan
 
Habari wanabodi

Nna Nissan X-trail, haijawahi kuniletea shida yoyote kabisa, ila mwezi mmoja kabla engine ili-heat kwa uzembe wangu mwenyewe, nikabadilisha head, gari ikarudi sawa, nikatembelea zaid ya mwezi, kama wiki moja iliyopita taa ya check engine iliwaka, nikaona isiwe tabu, nikapeleka garage, ikasoma Valve Timing, jamaa wakashauri timing belt haijaka sawa, ikafunguliwa ikarudishwa sawa,

Baada ya kumaliza service, tukatest gari ikaonekana iko sawa, baada ya kumaliza kutest, tukashauriana
engine OIL iongezwe kidogo, tukanunua lita moja ikaongezwa, baada ya kuongezwa, gari ikazimwa, kuja kuwasha ikagoma kabisa, mashine ikasoma CP ( Crankshaft position sensor ), zikabadilishwa na code ikafutika lakini bado imegoma kuwaka, issue ni kwamba haitupi spark kwenye cyclinder, tumeshajaribu kubadilisha hadi control unit lakini bado imegoma

Kwa wale wataalam ambao mmeshakutana na tatizo kama hili au mwenye ushauri wa nini tunaweza kufanya, nakaribisha maoni.!
Sasa mkuu ugonjwa mnao mkononi mnatengeneza au sumbuka na nn hapo??..

Kwanza sorry kuweka mambo sawa kwako ww na mafundi wako nissan xtrail haina timing belt bali ina timing chain..kingine hiyo fault ya timing mark ilikuja sababu gari oil ilikuwa kidogo sihitaji sana kufafanua hapo..au yawezekana gari quality ya oil ishakwisha mda wake..isha kuwa week.

Harafu labda nikwambie tuu mchawi wa gari yako ni ww mwenyewe siku ambapo umeanza kuiloga gari yako ni siku ulipotembelea gari mpaka ikachemsha hapo ndio shida ilipoanzia..hapo kuna mambo mawili hutokea crankshaft nayo kufa au kuwa week na camshaft ila hii ndio huwa namba moja kuumia..

Pili kama ulivyosema gari ililekebishwa tena basi yawezekana kabisa kwenye timing ni shida kama tensioner ya chain hawakufunga na kukaza chain vizuri basi uwezekano wa kulusha hata jino moja ni mkubwa sana kitu ambacho kwa nissan gari inazingua kuwaka??.kama mmebadilisha na kuweka sensor nyingine za uhakika na kwa uhakika basi hapo fundi akague timing..
 
Xtrail hii gari Ina sensor kibao si gari ya kuaminika maana anytime inazingua sensor check sensor ya air cleaner Kama uliigusa kwa mkono haiwaki gari hii Ni most delicate mzee ukijichanganya kuigusa utalia nenda kaazime hii sensor then utanipa jibu kabla ya kununua mpya
Ahaaa kumbe ya mshua..
 
Sasa mkuu ugonjwa mnao mkononi mnatengeneza au sumbuka na nn hapo??..

Kwanza sorry kuweka mambo sawa kwako ww na mafundi wako nissan xtrail haina timing belt bali ina timing chain..kingine hiyo fault ya timing mark ilikuja sababu gari oil ilikuwa kidogo sihitaji sana kufafanua hapo..au yawezekana gari quality ya oil ishakwisha mda wake..isha kuwa week.

Harafu labda nikwambie tuu mchawi wa gari yako ni ww mwenyewe siku ambapo umeanza kuiloga gari yako ni siku ulipotembelea gari mpaka ikachemsha hapo ndio shida ilipoanzia..hapo kuna mambo mawili hutokea crankshaft nayo kufa au kuwa week na camshaft ila hii ndio huwa namba moja kuumia..

Pili kama ulivyosema gari ililekebishwa tena basi yawezekana kabisa kwenye timing ni shida kama tensioner ya chain hawakufunga na kukaza chain vizuri basi uwezekano wa kulusha hata jino moja ni mkubwa sana kitu ambacho kwa nissan gari inazingua kuwaka??.kama mmebadilisha na kuweka sensor nyingine za uhakika na kwa uhakika basi hapo fundi akague timing..
Umeelezea kitaalamu sana.hongera
 
Habari wanabodi

Nna Nissan X-trail, haijawahi kuniletea shida yoyote kabisa, ila mwezi mmoja kabla engine ili-heat kwa uzembe wangu mwenyewe, nikabadilisha head, gari ikarudi sawa, nikatembelea zaid ya mwezi, kama wiki moja iliyopita taa ya check engine iliwaka, nikaona isiwe tabu, nikapeleka garage, ikasoma Valve Timing, jamaa wakashauri timing belt haijaka sawa, ikafunguliwa ikarudishwa sawa,

Baada ya kumaliza service, tukatest gari ikaonekana iko sawa, baada ya kumaliza kutest, tukashauriana
engine OIL iongezwe kidogo, tukanunua lita moja ikaongezwa, baada ya kuongezwa, gari ikazimwa, kuja kuwasha ikagoma kabisa, mashine ikasoma CP ( Crankshaft position sensor ), zikabadilishwa na code ikafutika lakini bado imegoma kuwaka, issue ni kwamba haitupi spark kwenye cyclinder, tumeshajaribu kubadilisha hadi control unit lakini bado imegoma

Kwa wale wataalam ambao mmeshakutana na tatizo kama hili au mwenye ushauri wa nini tunaweza kufanya, nakaribisha maoni.!
Kwanza uchawi wenyewe wa kuifanya gari izingue ni hapo kwenye oil, ikumbukwe oil ya gari haiongezewi ila inamwagwa upya na kuweka oil nyingine na hili ni tatizo kwa wamiliki wengi wa magari akifika dukani atakwambia nipe Lita 1 nataka kuongezea hapo ujazo lkn amesahau kwamba hii Lita moja ni oil mpya na ile iliyokuwemo tyl ishapoteza ufanyaji kazi wake. Hebu imagine umeenda hospital kupimwa ukakuta figo zako zote mbili zimeishiwa uwezo wa kufanya kazi unaambiwa ili urud katika hali yako ya kawaida lazima utoe hizi na uweke mpya lkn wewe ukatoa moja na ikabaki moja ili isaidiane na hii mpya unategemea kupata nn? Jibu utakalokuwa nalo ndilo hilo linareflect matokeo ya kuongezea oil badala ya kumwaga na kuweka mpya
 
Back
Top Bottom