Mamlaka husika tunaomba ufanyike uchunguzi kuhusu mgodi unaomilikiwa na Wachina uliopo Mkoa wa Geita, Wilaya ya Katoro, Kijiji cha Matanda, kutokana na madai ya kutokufuata sheria na taratibu za kazi.
Wafanyakazi wanadai kutolipwa stahiki zao, kutokupewa vitendea kazi, pamoja na kutokuwa na...