PostGE2025 Joel Nanauka - Vijana hatutaki uwe Motivation Speaker

PostGE2025 Joel Nanauka - Vijana hatutaki uwe Motivation Speaker

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Status
Not open for further replies.

lubajaro

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2015
Posts
1,791
Reaction score
1,185
Wanabodi,

Kwanza nimpongeze huyu Kijana mwenzetu kwa kuteuliwa Waziri mara tu baada ya kupata Ubunge.

Ushauri wangu hatutaki ukawe Motivation Speaker tunataka matokeo ya fursa za Ajira na akili iliyochangamka katika kuhakikisha Kila kijana wa Taifa anakuwa na Ajira yenye kipato cha kueleweka maana Maafisa Wasafirishaji hii si Ajira rasmi tunataka Ajira rasmi ziwe za kumwaga mtaani.

Wewe ni TO hivyo Rais anakutegemea utatuvusha salama hakikisha wizarani kwako Kuna kuwa na watendaji wenye akili nyingi kuliko kuwa na vijana wa kisiasa wa UVCCM ambao wengi wao ni machawa kama kina Mwijaku.

Hatutaki Ajira za machawa.

Nawasilisha
 
Wanabodi,

Kwanza nimpongeze huyu Kijana mwenzetu kwa kuteuliwa Waziri mara tu baada ya kupata Ubunge.

Ushauri wangu hatutaki ukawe Motivation Speaker tunataka matokeo ya fursa za Ajira na akili iliyochangamka katika kuhakikisha Kila kijana wa Taifa anakuwa na Ajira yenye kipato cha kueleweka maana Maafisa Wasafirishaji hii si Ajira rasmi tunataka Ajira rasmi ziwe za kumwaga mtaani.

Wewe ni TO hivyo Rais anakutegemea utatuvusha salama hakikisha wizarani kwako Kuna kuwa na watendaji wenye akili nyingi kuliko kuwa na vijana wa kisiasa wa UVCCM ambao wengi wao ni machawa kama kina Mwijaku.

Hatutaki Ajira za machawa.

Nawasilisha
Usitarajie chochote cha maana. Kwani wewe ujui uko CCM hawaruhusiwi kutumia akili
 
Wanabodi,

Kwanza nimpongeze huyu Kijana mwenzetu kwa kuteuliwa Waziri mara tu baada ya kupata Ubunge.

Ushauri wangu hatutaki ukawe Motivation Speaker tunataka matokeo ya fursa za Ajira na akili iliyochangamka katika kuhakikisha Kila kijana wa Taifa anakuwa na Ajira yenye kipato cha kueleweka maana Maafisa Wasafirishaji hii si Ajira rasmi tunataka Ajira rasmi ziwe za kumwaga mtaani.

Wewe ni TO hivyo Rais anakutegemea utatuvusha salama hakikisha wizarani kwako Kuna kuwa na watendaji wenye akili nyingi kuliko kuwa na vijana wa kisiasa wa UVCCM ambao wengi wao ni machawa kama kina Mwijaku.

Hatutaki Ajira za machawa.

Nawasilisha
Yeye kashindwa kujiajiri halafu aje kutudanganya hatutaki
 
Wewe ni TO hivyo Rais anakutegemea utatuvusha salama hakikisha wizarani kwako Kuna kuwa na watendaji wenye akili nyingi kuliko kuwa na vijana wa kisiasa wa UVCCM ambao wengi wao ni machawa kama kina Mwijaku.
Kwenye siasa haufanyi maamuzi yako mwenyewe hapo atakua tu anaelekezwa cha kufanya. Tegemea tu atakuja na kauli za kejeli kwa vijana, kuita Gen z ni vibaka na hata washughulikiwe.

Akianza ubunifu na kuonekana ni mediator kwa Gen Z usishangae akafukuzwa kazi!!

So hakuna expectations zozote zile naye ni mnufaika wa mfumo hawezi kwenda tofauti na maelekezo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom