Hata ukienda na fundi ni ngumu kukagua matatizo yote.
Gari inaweza kukazwa vizuri unapoenda kuinunua na ukaitesti ukajisifu umevuta chuma ila kuna matatizo hutaweza kuyaona kwa muda huo, utayajua baadae
Gari kunywa sana mafuta
Enhine kumaliza oili haraka kila miezi mitatu unabadili
Gari...
Ndugu na mdau wa jukwaa hili ninatumia nafasi hii kuwasilisha wazo langu la biashara kwa mwaka huu wa 2026, nikiwa na matumaini ya kupata mrejesho, ushauri wa moja kwa moja, na hasa mawasiliano ya wadau wanaohusika na uuzaji wa mashine za kuoka na kukanda unga.
Nina mpango wa kuanzisha biashara...
Naomba kuwasilisha kwenu Wakuu, nitumeni , niko tayari kufanya delivery.Nitawauzia mzigo kwa Bei ya China , Bei ya Soko la Huangshangbei Electronic Market pale Shenzhen,China.
Mzigo tulionao ni kama ifuatavyo;
Vioo vya iPhone OLED (Original Display)
iPhone Battery Model zote
-iPhone Backlass...
Hii imenikuta mimi nikiwa Arusha kuuziwa Viatu feki.
Niwaombe mamlaka ya Mapato Tanzania TRA mkoa wa Arusha wafanye uchunguzi kwa wauzaji wa viatu maeneo ya kariakoo ya Arusha.
Wauzaji tukiwaambie watupatie risiti hawafanyi hivyo badala yake wanatuzungusha na kuwa hawatoi.
Ukijaribu kufuatilia...
Anonymous
Thread
feki
nguo
sana
tabia
viatu
vitu
vitu feki
wateja
wauzaji
Habari.? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu natafuta wauzaji wajumla wa jezi za timu mbalimbali hasa jezi za msimu huu, yeyote mwenye kujua wapi naweza kupata namomba anisaidie..
KARIBUNI SANA VUNJABEIMTUMBAGRADE1 WAUZAJI WA BALO ZA MTUMBA GRADE 1 KUTOKA CHINA UK CANADA'S DUBAI
WHATAPP GROUP LETU UJIFUNZE ZAIDI VUNJABEI 🔥BALO ZA MTUMBAGRADE 1
Mawasiliano 0657710078
TUNAPATIKANA ILALA DAR ES SALAAM MIKOANI TUNAFANYA DELIVERY
Habari zenu wapendwa katika ujenzi wa nchi?
Ninaomba kwa wale wataalamu wa Mambo ya ujenzi wanisaidie ni wapi hizi material za geosynthetics zinapatikana kwa dar (yani maduka ya na you za hizi material)
Asanteni
WHATAPP GROUP LA MITUMBA Vunjabei balo za mtumba grade1 group 3
Karibuni sana jaman mjipatie balo za mtumba grade1 kutoka china uk Canada Dubai Korea
Tuna balo za nguo aina mbalimbali na Kila balo Lina nguo yake na bei yake mfano balo la shati ni shati tu t-shirt ni t-shirt tu Jean's...
Habari wana jamii kama kichwa cha uzi kinavyojieleza kama kuna wafanyabiashara wa kariakoo mnaouza suruali za vitambaa aina ya boss naomba tufahamiane kwa lengo la kufanya biashara pm yangu iko wazi wakuu muda wowote
Habar wakuu msaada wenu kimawazo ,mim nimefanya biashara wa jumla vyakula na vinywaji Sasa Niko katika changamoto ya ushindani,hapa tupo masupply wa jumla kama wanne wa vyakula na vinywaji,Sasa kati yetu Kuna wawili kabila moja,Sasa wateja wooote wengi wale wanaokuja kununua jumla wakauze ktk...
Wakuu poleni na majukumu.
Nahitaji gas grill kwa ajili ya matumizi ya nyumbani. Wengine wanaziita tabletop gas grills.
Nishaulizia sana madukani ila naonyeshwa vitu sio.
Ni jiko maalum la kuchomea nyama na vyakula vingine lakini linatumia gas badala ya mkaa au umeme.
Naombeni mwongozo...
Binadamu ni Bidhaa ya mazingira yake .
Wazungu walishamsoma MTU mweusi na kujua udhaifu wake kuwa ni ngono, pombe , na madawa bangi pombe na sigara.
Unapozungumzia Anasa means is endless shit .
So ukimjengea MTU danguro , vilabu vya pombe n.k usitegemee huyo MTU akafanikiwa kwa lolote
He or...
KARIBUNI SANA balo safi za mtumba wauzaji balo za mtumba grade 1 kutoka China uk Canada uingeleza Dubai na korea
Tuna balo za nguo aina zote Viatu mabegi shuka pazia
Mawasiliano 0657710078
Tunapatikana ilala dar es salaam mikoani tunafanya delivery
TUME YA MADINI KUENDELEA KUWASAIDIA WASAMBAZAJI NA WAUZAJI BARUTI.
Tume ya Madini imesema itaendelea kutoa ushirikiano na kuwasaidia wasambazaji na wauzaji wa baruti nchini ili wafanye shughuli zao kwa mujibu wa Sheria na kanuni za baruti zilizopo.
Mkaguzi Mkuu wa Migodi Mhandisi Hamisi...
Habari wakuu.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, natafuta wauzaji wa rizla mkoa wa mwanza kwa bei ya jumla.
Pm iko wazi. Njoo tufanye biashara.
N.B uwe mwaminifu kama wauza nafaka walivyo waaminifu
Karibu ofisini kwetu ujipatie Accessories na Aluminium Kwa bei ya kiwandani.
Bei zetu ni rafiki sana , Kwa DSM ukinunua mzigo utapata free delivery na Kwa mikoani ukinunua mzigo tutaupeleka hadi kwa transporter wako.
Kuhusu bei huwa zinapanda na kushuka hivyo ukitupigia tutakupa bei ambazo...
Habari za asubuhi wanajamii
Kwa waleo wauzaji wa vijora kwa bei ya jumla naomba kujuzwa bei zikoje niko mkoa mnaweza tuma pia sample za picha kama mko nazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.