Jamani mi ninataka msaada kidogo. Nilituma package kutoka UK through DHL, unfortunately package haikuchuliwa kwa wakati muafaka. Nimeongea nao wanasema ipo warehouse. So ni jinsi gani ya kuitoa hiyo package warehouse? Naombeni msaada wa mawazo.
ABOUT GEITA GOLD MINING LTD
Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company is a subsidiary of AngloGold Ashanti, an international gold producer headquartered in South Africa, with operations in more than ten countries, in...
D.light is a global leader and pioneer in delivering affordable solar-powered solutions designed for the two billion people in the developing world without access to reliable energy.
Position Description
The incumbent is responsible for managing and supervising operations for assembly, test...
Wasoko is transforming communities across Africa by revolutionizing access to essential goods and services. By connecting small shops to the digital economy, we fix inefficient supply chains and provide services that were previously unavailable. Wasoko aims to provide everything a retailer...
Nyumba ina mwonekano wa kuvutia wa ndani na nje. Ina vyumba vine vya kulala vinachojitoshereza, subure kubwa, jiko la kisasa na mahali pa kula ( Dinning area).
Bei 500mil na inaongeleka. Kuiona piga simu au tuma ujumbe kwa whatsapp tupange muda muafaka wa kuiona…0784225000 au email...
Clerk 1 - Warehouse at Geita Gold Mining Ltd
ABOUT GEITA GOLD MINING LTD
Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company is a subsidiary of AngloGold Ashanti, an international gold producer headquartered in South Africa...
Hello wanaforum naitwa richard nimegraduate degree ya finance university of dsm natafuta nafasi ya kazi ya kujitolea kwenye kampuni yoyote nipate uzoefu Napatikana Dar Es Salaam Tanzania namba zangu 0657710078
baada
banda
chuma
dar
dar es salaam
daressalaam
duka
fundi
godown
halali
internship
kariakoo
kazi
kazi yoyote
kibarua
kuuza
kuuza duka
maduka
mafundi
manual
msaada
natafuta
natafuta kazi
sugu
ujenzi
warehouse
Habari za muda huu wadau
Ninaomba kufahamu zaidi kuhusu gharama za kukodisha ghala la kuhifadhi materials ya ujenzi ( Construction materials warehouse house) lenye square meter 400 lili chin ya mamlaka ya serikali.
Kwa mkoa wa Dar es Salaam.
NRC Tanzania is looking for Warehouse Assistants base at Nduta and Nyarugusu
The purpose of the Assistant position is day to day implementation of the Warehouse/Storage responsibilities. Use actions words such as ensure, implement or assist for the position relevant responsibilities.
All NRC...
Habari kama kichwa kinavyojieleza
Ninahitaji warehouse yenye sifa zifuatazo
1.Iwe na ukubwa wa120 sqm
2.Iwe certified na TBS kwa ajili ya kuhifadhia Food Products
3.Iwe na refrigerator au AC itakuwa poa zaidi
4.Location iwe Dar es Salaam
KAMA KUNA MWONGOZO MWINGINE ZAIDI YA HAYO...
Habarini za Leo wanajumuia? Naombeni mwenye uelewa wa njia rahisi na nafuu kwenye ujenzi wa ghala la kuhifadhia nafaka. Ningependa ushauri wa kuhusiana na vipimo, materials za ujenzi Kati ya cement blocks, steel prefabs au za kuchoma.
Kwenye vipimo napenda kujua ghala dogo kabisa ushauri liwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.