Akili bandia (Artificial Intelligence.)
Habari!
Kila zama kuna bunifu kubwa zinafanyika duniani ili kurahisisha maisha ya mwanadamu na mazingira yake kama siyo kutatua changamoto zinazomkabili mwanadamu. Tumeshuhudia bunifu zilizopita jinsi zilivyotusaidia ,kwa mfano Ugunduzi wa moto na...