wajumbe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mwehu ndama

    GE2025 Video: Wajumbe wawafanyia ubaya ubwela wabunge wa COVID-19

    Nimewasogezea vipande kadhaa vya picha mjongeo , vikiwaonyesha WAJUMBE hatari wa fisiemu wakifurahia matokeo ya mchakato wa kura za maoni , hasa baada ya kuwafanyia kitu mbaya wabunge wa COVID-19, ester Bulaya, Ester matiko , Nusrat Hanje bila kumsahau bilionea wa nzega mzee wa sinki nje ya box...
  2. C

    Wajumbe CCM ni kirusi nchini, Wanakula rushwa na kupitisha viongozi wasiofaa

    Hello jf members, Hilo halina ubishi hawa wajumbe wamegeuka janga kwenye nchi yetu. Bora kura tupige wanachama wote.
  3. The Zanzibar Echo

    Wabunge wa CCM 'walioanguka' kura za wajumbe

    Katika kile kinachoonekana kama mabadiliko ya upepo wa kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wabunge kadhaa waliokuwa wakitetea nafasi zao wamejikuta wakitemwa na wajumbe wa chama hicho katika kura za maoni zilizofanyika Agosti 4, 2025, katika maeneo mbalimbali ya Tanzania. Ingawa...
  4. kyagata

    GE2025 Huyu Professor Neema Kumburu aliyepata kura 8 za wajumbe mbona kama anajidhalilisha?

    Huko jimbo la Moshi mjini kwenye kura za maoni, kuna professor anaitwa Neema kumburu ,yani kapata kura 8 tu za wajumbe. Huyu mtu mbona ni kama anadhalilisha taaluma yake?
  5. Kimbesa11

    GE2025 Kura za wajumbe wa CCM zimepalilia falsafa ya Oktoba tunatiki, Sasa tutatiki kwa Rais Samia, wabunge wa CCM na madiwani wa CCM. Then Day ended well

    Nianze kwa kumpongeza mwenyekiti wetu wa CHAMA CHA MAPINDUZI TANZANIA Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapa nguvu Wajumbe waamue viongozi wanaowataka kupitia kura. Hongera sana mwenyekiti wetu Samia kwa kuongoza chama chetu kwa akili kubwa na maono makubwa. Wajumbe wameshachagua wabunge na...
  6. Oziko Jo

    GE2025 Thank you RORYA 🙏Wajumbe ♥️

    Hizi ndio Nyakati tulizokua tunasubiri kwa Muda mrefu SIASA za UKANDA,Basii.
  7. DuaZaMama

    GE2025 Ndugai apitishwa na wajumbe ubunge Jimbo la Kongwa Dodoma

    Spika wa zamani wa bunge la Tanzania job ndugai amepitishwa na wajumbe kuwa Mgombea ubunge CCM jimbo la Kongwa kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika October 29, 2025
  8. kavulata

    Baba Levo ahutubia wajumbe akiwa na miwani ya giza, ni sawa?

    Ni sawa kuwahutubia wajumbe ukiwa umevaa miwana kama hii? https://youtu.be/JbhL8mwx67c?si=v0ogSQY26ydWrzV8
  9. The Supreme Conqueror

    jimbo la Kisesa, wajumbe wamegoma kupiga kura wakimtaka mbunge wao aliyekatwa jina.

    Inawezekana kabisa CCM inazihitaji zaidi REFORMS kuliko hata Chadema na wenzao. Leo huko mkoani Simiyu, jimbo la Kisesa, wajumbe wamegoma kupiga kura wakimtaka mbunge wao aliyekatwa jina. Wao wamesema wanamtaka mbunge wao, hawapigi kura za maoni siku ya leo hadi waletewe mbunge wao. Hawana...
  10. W

    GE2025 Mjimpya- Morogoro, wajumbe kuanza mchakato wa kuhesabu kura

    Msimamizi wa uchaguzi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Kheri Mkamba, leo ameongoza zoezi la kuanza kwa uchaguzi wa kura za maoni katika Kata ya Mjimpya, Manispaa ya Morogoro. Pichani Mkamba akionyesha sanduku la kura pamoja na kura ambazo bado...
  11. N'yadikwa

    Leo mji wa Dar umechangamka sana. Wajumbe Mitano Tena.

    Uzi tayari. Ila wajumbe?! N'yadikwa
  12. W

    Wajumbe leo msituangushe, tunawategemea

    Nyakati kama hizi leo.
  13. W

    GE2025 Nchimbi: Wasalimieni wajumbe wakiwa njiani kuelekea kupiga kura, waambieni tuletee fulani

    Umemsalimia mjumbe wako asubuhi ya leo? Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema CCM itahakikisha inateua wagombea wazuri wanaokubalika kwa wapiga kura, akiwataka wajumbe wa vikao vya kura za maoni kusikiliza maoni ya wananchi wanapoenda kupiga...
  14. M

    GE2025 Leo ndio Uchaguzi unafanyika, Oktoba inabaki kutiki tu

    Leo tarehe 4 August wakati wana CCM tunapochagua wagombea ni vyema ikajulikana ni siku muhimu kuliko hata Octoba 29. Leo ndio wanapatikana zaidi 80% ya Wabunge na wengi wanaoshinda leo wanakuwa na 90% ya uhakika wa kuwa Wabunge
  15. McLaren

    GE2025 Joshua Nassari aingia kwenye full panic mode baada ya kuulizwa swali hili na wajumbe

    Wakuu, Naona wajumbe wameendelea kuwashika pabaya wanasiasa. Yaani swali dogo tu hivi kama amepanic hivi Soma pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu 2025 Source: Bongo Mixed
  16. L

    GE2025 PICHA: Ridhiwan Kikwete Apokelewa Kifalme na Wajumbe Jimboni Chalinze

    Ndugu zangu Watanzania, Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete Mbunge Wa Chalinze anayesubiria tu kuapishwa Baada ya kuwa Amepitishwa kuwa Mgombea pekee wa chama cha Mapinduzi Jimbo la Chalinze. kutokana na wanachama wengine kutochukua Fomu ya kugombea kutokana na kuridhishwa na uchapakazi wake pamoja...
  17. R

    GE2025 Vituko vya Aggrey Mwanri akiomba kura kwa Wajumbe CCM

    Vituko vya Aggrey Mwanri ambaye aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora wakati akiomba kura kwa wajumbe wa CCM kwa ajili ya kupata ridhaa ya kuwa mbunge wa Jimbo la Siha Wilaya ya Siha Mkoa wa Kilimanjaro Soma Pia: GE2025 - Aggrey Mwanri avunja wajumbe mbavu akiomba kura za maoni Chanzo: ITV...
  18. DuaZaMama

    GE2025 Mwanaenzi Hassan Suluhu akiomba ridhaa mbele ya wajumbe wa halmashauri kuu UVCCM

    Mwanaenzi Hassan Suluhu akiomba kura kwa ajili ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia UVCCM. Ameomba kutuwasilisha bungeni ni sahihi?😂
  19. Just Pray

    GE2025 Dkt. Biteko akiomba kura za wajumbe, asema 'Moyoni mwangu ninalo deni kubwa sana la kufanya kazi zaidi'

    Mbunge wa Jimbo la Bukombe anayemaliza muda wake, Dkt. Doto Mashaka Biteko ambaye ameomba tena ridhaa ya kutetea kiti hicho, ameeleza furaha na shukrani aliyonayo kwa Wananchi wa Bukombe kufuatia ushirikiano waliompa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Dkt. Biteko amesema hayo Agosti 2...
  20. Just Pray

    GE2025 Wagombea ubunge, udiwani Segerea wakijinadi mbele ya wajumbe

    Wagombea Ubunge na udiwani katika Jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Agosti 2, 2025 walipoitwa mbele ya wajumbe Kata ya Kiwalani kwa ajili ya kutambulishwa kabla ya kuwaomba kupigiwa kura Agosti 4, 2025. Jimbo hilo lina jumla ya wagombea saba.
Back
Top Bottom