wajackoyah

George Luchiri Wajackoyah is a legal practitioner based in Nairobi, Kenya and an independent political campaigner. Wajackoyah is also a presidential candidate for the Roots Party of Kenya in Kenya's General Election scheduled for 9 August 2022. Wajackoyah is also the founding partner of Luchiri & Co Advocates and has practiced law for at least 25 years.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Mwanasiasa wa Kenya, George Wajackoyah adai aliwekewa zuio kuingia Tanzania, atoa siku 7 apate maelezo

    Mwanasiasa wa Kenya na kiongozi wa Chama cha Roots, George Wajackoyah amedai kuwa licha ya kuruhusiwa kuingia Tanzania siku mbili zilizopita akiwa mgeni wa CHADEMA, alinyanyaswa na mamlaka upande wa Tanzania. Anadai akia Arusha alizuiwa muda mrefu kwa kile alichoambiwa kuna zuioa la yeye...
  2. Black Butterfly

    Profesa Wajackoyah aishauri CHADEMA kuwa makini na Katiba Mpya

    Aliyekuwa Mgombea Urais nchini Kenya Profesa George Wajackoyah amewatahadharisha Chadema kuwa makini na mchakato wa katiba mpya Ili kuhakikisha wanapata katiba bora. Wajackoyah amesema suala la Katiba mpya linahitaji muda na maandalizi mazuri na Chadema wasifanye makosa kama walivyofanya wao...
  3. Erythrocyte

    Profesa Wajackoyah awa mtu wa kwanza kutoka nchi za kigeni kuwasili Arusha kumpokea Lema

    Taarifa mpya inaonyesha kwamba huko Arusha tayari Watu wa mataifa mbali mbali wameanza kuwasili, kwa lengo la kumpokea Nabii wa Mungu, Godbless Lema, anayewasili kesho kutokea Canada, Nchi aliyokimbilia baada ya kukwepa mtego wa kuuawa na wakubwa nchini Tanzania, baada ya kile kilichoitwa...
  4. hempustler_007

    SoC02 Prof. George Wajackoyah na sera yake dhidi ya bangi

    “Hempu ni hitaji la kwanza la ulazima kwa utajiri na ulinzi wa nchi…huduma kubwa/ nzuri ambayo inaweza kupewa taifa lolote ni kuongeza mmea wenye manufaa kwenye utamaduni wake.” –Thomas Jefferson, Raisi wa tatu wa Marekani na muasisi wa taifa hilo. Mgombea Uraisi wa Kenya Prof. G. Wajackoya...
  5. MSAGA SUMU

    Kenya 2022 Wajackoyah: Nina Imani nitatangazwa kuwa Rais

    Wajackoyah: We're Confident We'll Win Presidential Election Roots Party presidential candidate Prof. George Wajackoyah during his manifesto launch at KICC. PHOTO | COURTESY Preliminary results intimate that Kenya Kwanza frontman William Ruto and his Azimio counterpart Raila Odinga hold a...
  6. Lady Whistledown

    Kenya 2022 Wajackoyah ajitoa katika Mdahalo wa Urais

    Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha wa Roots, Profesa George Wajackoyah amesema hatashiriki kwenye Mdahalo unaotarajiwa kufanyika leo kwa kudai kuwa Mdahalo umepangwa Wajackoyah ni Mgombea wa Pili kujitoa kwenye Mdahalo huo baada ya Raila Odinga kutangaza kujitoa mapema Jumapili kwa kuwa...
  7. mtwa mkulu

    Kenya 2022 Mfahamu George wajackoyah: Mgombea urais Kenya anayesisimua kwa Bangi na sumu ya Nyoka

    Mgombea George Wajackoyah Wakati mmoja alikuwa mtoto wa kurandaranda mitaani nchini Kenya na wakati mwengine akawa mchimba kaburi nchini Uingereza, George Wajackoyah amekuwa kivutio cha kisiasa kwa kugombea urais wa Kenya kupitia ahadi ya kuligeuza taifa hilo la Afrika Mashariki kuwa muuzaji...
  8. JanguKamaJangu

    Kenya 2022 Wajackoyah: Nikishinda Urais Kenya nitaanzisha biashara ya korodani za fisi kwenda China

    Mgombea Uraisi Nchini Kenya, George Wajackoyah amesema kuwa akiingia madarakani atafanya mchakato wa kuuza korodani za fisi pamoja na nyama nyingine za mnyama huyo Nchini China ili kukuza kipato cha taifa hilo. Wajackoyah amesema mlo wa Wanyama hao utasaidia kukuza uchumi wa Kenya na kuimarisha...
  9. Kenyan

    Kenya 2022 Wajackoyah: I will Hold National Fundraiser In My First 100 Days To Reduce Country Debt

    Roots Party presidential candidate Prof. George Wajackoyah has dismissed what he terms as unrealistic promises by his competitors should they win the top seat in the upcoming August polls. According to Prof. Wajackoyah, Kenya is in a sorry economic state and politicians who are making grand...
  10. Kenyan

    Kenya 2022 Wajackoyah: I Have Been Offered Ksh. 200M To Drop Out Of Presidential Race

    Wajackoyah said his political rivals had been threatened by his rising popularity and sought to have him drop his bid. He dismissed the effort to bribe him saying he was focused on ascending to the highest office in the land and would fight until the last minute. Roots Party presidential...
Back
Top Bottom