wagoma

The Goma (Swahili: Wagoma, Khihoma: Bahoma, Ebembe: Bakyobha), who also refer to themselves as Al ghamawiyyun in Arabic, are a tribe in the Kigoma Region in western Tanzania. They are a contingent of the Bantu tribe who are more commonly found in Tanzania and present-day Democratic Republic of Congo who migrated from the western shore of the Lake Tanganyika in Democratic Republic of Congo with origins from Sudan. They are the first group of the Bantu tribe to ever cross the Lake Tanganyika and also the first group to reside in the Urban District of Kigoma as its inhabitants. Following the Wagoma were Niakaramba (Kwalumona) from Cape Karamba and then Wabwari from Ubwari peninsula. The Kwalumona merged within Wabwari, identified themselves as Bwaris and settled north of Wagoma in Kigoma before resettling in Ujiji and its environs, where they formed a tribal Confederacy in Ujiji known as Wamanyema. The Wagoma crossed the lake early due to their invention of dug-out canoes mitumbwi ya mti mmoja curved from Mivule trees of Ugoma mountains from western shore of the Lake.

View More On Wikipedia.org
  1. Analogia Malenga

    Sudan: Wananchi wapinga Utawala wa Kijeshi

    Makundi ya kutetea demokrasia ya Sudan yameanzisha mgomo na kutofuata sheria Jumapili ikiwa ni hatua ya kupinga mapinduzi ya kijeshi ya mwezi uliopita. Washiriki walionekana wachache kwa sababu ya kuendelea kuzuiwa kwa mtandao wa internet na mawasiliano ya simu. Kamati ya mgomo, na chama cha...
  2. peno hasegawa

    Tetesi: Makatibu wa CCM wilaya waliohamishwa vituo vya kazi wagoma kuripoti vituo vipya walivyopangiwa

    Mada inahusika. Makatibu wa CCM wa wilaya nchi Tanzania, wamehamishwa kwenye vituo vyao vya kazi na wamegoma kuripoti kwenye vituo vipya walivyopangiwa. Sambamba na hilo wakatibu zaidi ya 30 wamepangiwa kazi zingine jambo ambalo hawakubaliani nalo na wamediriki kutoa rushwa Ili wapangiwe tena...
  3. Erythrocyte

    Shule nyingi za sekondari zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi wa CCM zadaiwa kufungwa kwa kukosa wanafunzi

    Shule za sekondari zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi wa CCM zimeanza kufungwa na kubaki kuwa mazalia ya wadudu, baada ya wananchi kwa umoja wao kuzigomea kupeleka watoto kusoma humo. Hii ni baada ya wananchi hao kufahamu kwamba chanzo cha umasikini na dhuluma dhidi yao Kwa miaka yote ni CCM ...
  4. Analogia Malenga

    Waganda walioko Afghanistan wagoma kurudi kwao

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda, Jenerali Jeje Odongo amesema waganda walioko Afghastan wamegoma kurudi Uganda Jen. Odongo amesema katika waganda walioko Afghanstan ni waganda watatu tu walioko tayari kurudi na wameshaandaliwa utaratibu Wengine wamesema wako salama wataendelea kubaki. Nchi...
Back
Top Bottom