wafanyakazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dr Vincent Naano awashikilia walimu watatu na wafanyakazi watatu wa Idara ya Maji masaa 48 kwa kosa la kupakia mshikaki

    Wanajamvi nawasalimu kwa jina la bwana. Kwa muda toka mheshimiwa Kangi Lugola akutane na madhila ya kuvuliliwa uwaziri wa Mambo ya Ndani, wote tunajua kuwa Kangi alikuwa mtetezi wa waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda. Makosa madogo madogo kama ya abiria kutovaa helmet na kupakia mshikaki...
  2. Wafanyakazi TRA kupandishwa kizimbani

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru) mkoani Dodoma, inatarajia kuwafikisha mahakamani watumishi wawili wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kosa la kushawishi na kupokea rushwa ya Sh milioni moja. Rushwa hiyo inadaiwa walichukua kutoka kwa mfanyabiashara wa jijini...
  3. Wahudumu wa bar wanahitajika Kilimanjaro

    Wakuu kwema, Jamani katika harakati za kulainisha vyuma nimefanikiwa kufungua baa ambayo ina jiko kwa ajili ya mdudu spesho. Katika uendeshaji wa Baa hii changamoto kuu niipatayo ni wafanyakazi. Nakosa wafanyakazi serious ambao wana moyo wa kazi maana niliokuwa nao wengi ni wasumbufu na...
  4. Wafanyakazi wanne wa kampuni ya uwindaji ya Green Miles Wakamatwa na Polisi

    Wafanyakazi wanne wa kampuni ya uwindaji ya Green Miles iliyoondolewa katika kitalu cha Lake Natron(east) wilayani Longido wanashikiliwa na polisi kwa madai ya kukaidi agizo la Serikali kuondoka wa hiari katika kitalu hicho. Wafanyakazi hao wamekamatwa na polisi leo Jumatano Januari 22, 2020...
  5. Wakati zoezi la uandikishaji wa daftari la wapiga kura,Sioni vyama vya siasa na vya wafanyakazi Vikihamaisha watu wao

    Huu ni mwaka wa uchaguzi lakini pia tume ya taifa ya uchaguzi ipo katika zoezi la uboreshaji wa daftari la Wapiga kura .Wakati zoezi hilo likiendelea vyama vya siasa vipo kimya na vyama vya wafanyakazi navyo vipo kimya. Vyama vya wafanyakazi vinawajibu wa kuhamasisha wanachama wao...
  6. Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

    "Marufuku kwa watumishi wa serikali kudai nyogeza ya Mshahara" Anasema walioandamana kudai nyongeza ya Mshahara mei mosi walipaswa kuchapwa viboko. Nini Maoni yako?
  7. Punguzo la PAYE kwa asilimia 1 ni dhihaka kwa wafanyakazi!

    Punguzo la 1% (kutoka 15% hadi 14%) kwenye kodi ya mishahara (PAYE) ni dhihaka kwa wafanyakazi wa Tanzania kwani gharama za maisha ziko juu sana kufuatia mfumuko mkubwa wa bei. Ifike wakati sasa serikali iwaonee huruma wafanyakazi kwa kuwapunguzia mzigo wa kodi badala ya kufawafanyia mzaha kama...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…