wachina kariakoo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Nigeria imefukuza Wachina 50 kwa Uhalifu mtandaoni na udanganyifu. Tanzania tunakwama wapi?

    Wakuu Nimekuwa nikilalamikia sana kuhusu hawa Wachina humu, naona sasa Wanigeria wameamua kufanya kweli. Malawi na Angola na sasa Nigeria wameshaanza kuchukua hatua dhidi ya hawa watu. Sisi Wabongo tunakwama wapi maan siku hizi ukitembea kule Oysterbay na Mikocheni wameshajitengenea maeneo...
  2. McLaren

    Mwigulu apendekeza Waziri wa Biashara awe na mamlaka ya kuainisha biashara ambazo hazipaswi kufanywa na wageni

    Wakuu, Mwigulu naona suala la Wachina ameamua kulivalia njuga, akiwa bungeni leo amependekeza hoja ifuatayo: "Kuongeza kifungu cha 8 kifungu kioengele cha 7 ambacho kinampa mamlaka Waziri mwenye dhamana ya Viwanda na Biashara kuainisha shughuli za Biashara ambazo hazipaswi kufanywa na wageni...
  3. Poppy Hatonn

    Waziri Jaffo anataka kuwafukuza Wachina Kariakoo kwa kuuza bidhaa bei poa

    Waziri Jaffo amecharuka. Anasema Serikali atalivalia njuga tatizo la Wachina na wageni wote wanaofanya biashara nchini bila kibali. Kuanzia kesho,yaani kuanzia leo,anataka kuona njagu wanawachangamkia Wachina Kariakoo. Waziri Jaffo anasema yeye kama Waziri wa Viwanda na Biashara hatakubali...
  4. Yoyo Zhou

    “Fimbo ya ushuru” haiwezi kuvunja mnyororo wa biashara ya nje ya China

    Maonesho ya 137 ya Canton yamefunguliwa hivi karibuni mjini Guangzhou China. Takwimu zinaonesha kuwa katika siku ya ufunguzi, jumla ya wanunuzi 64,530 wa ng'ambo wameshiriki katika maonesho hayo, ambalo ni ongezeko la asilimia 8.9 ikilinganishwa na siku kama hiyo mwaka jana, na kuweka rekodi...
  5. Mindyou

    Video: Wachina wana mpango gani na nchi yetu? Kuna hii store Mikocheni wanauza kila kitu 3,000. What's going on?

    Wakuu, Kuna hili duka la Wachina hapo Mikocheni pembeni ya Clouds linaitwa Citistore. Hili duka ni la ajabu sana. Yaani kila kitu humo ndani kinauzwa 3000. Yaani chochote, kuanzia accesories za wanawake, make ups na masuala ya urembo, stationeries na kila kitu humo ni 3000 tu. Ukipita hapo...
  6. LICHADI

    Serikali mmelala mlitakiwa mumuige Trump anachokifanya kwa China mda sana

    China ni kirusi ambacho wenye akili washakishtukia ila mataifa yaliyolala naona bado tunamchekea tu Ukitaka kumjua mchina ni kirusi muulize jux alishawahi kutengeneza Tshrts hadi kofia zake zenye quality ya juu akawa anauza 25 , na zilikuwa ni quality ,mchina anachukua idea akaenda kuzalisha...
  7. Mindyou

    Hoteli ya Kichina iliyodaiwa kukataza Watanzania kuingia ndani ya hoteli yao, watoa tamko la kujitetea!

    Wakuu, Baada ya kupiga sana kelele humu na huko X kuhusu ile hoteli ya Kichina ambayo ilikuwa inazuia watu weusi, hatimaye hoteli hiyo imetoa tamko. Wamesema kuwa huyo mlinzi ni wa "kampuni ya nje" na kwamba alikuwa "hana mafunzo ya kutosha" Kwangu mimi naona hii barua ni "risk management" na...
  8. Faana

    Kipanya: Bado yuko na biashara mpaka kieleweke

  9. A

    DOKEZO Wengi wanaoshadidia sakata la wachina ni watu wa kawaida na sio wafanyabiashara. Tuache ushabiki na tuchukue hatua hizi stahiki

    Habari wakuu, Nimekuwa nikifuatilia mijadala mitandaoni, hasa kwenye Facebook, X na hapa JF, kuhusu sakata la Wachina kwenye biashara za rejareja. Inaonekana wale ambao hawafanyi biashara au wanaoendesha biashara zisizotegemea uagizaji wa bidhaa kutoka nje ndio wanaoshabikia Wachina kuruhusiwa...
  10. Mindyou

    Picha: Nimepata msongo wa mawazo baada kuona katuni ya leo ya Masoud Kipanya akizungumzia sakata la Wachina

    Wakuu, Tunaposema Wachina ni existentia threat kwenye nchi hii, basi tunamaanisha mambo kama haya. Mimi nilivyoelewa hii katuni ya Masoud Kipanya ni kwamba: Pamoja na kwamba mchele unaouzwa na Mtanzania ni gharama lakini Mtanzania akinunua mchele, muuzaji ataenda kununua vitumbua baadae so...
  11. Doto12

    Serikali imeiuza Kariakoo kwa Wachina

    Haiwezekani Kariakoo wachina wanaishi kama kwao. Mbaya zaidi hawalipi kodi ipasavyo. TRA haina kanuni za asiye raia kulipa kodi kama mzawa Hii ni sawa tu na kusema Kariakoo imeuzwa
  12. kavulata

    Kariakoo tuwaache wachina watufundishe biashara

    Watu wetu hawajui kufanya biashara, hawamjali mteja, hawajui kuweka kumbukumbu. Miaka 20 mtu amebaki kuwa machinga. Watu wetu wanapata uzoefu wa kuuza kutoka kwao. Kuwafukuza wachina na wageni tutawadumaza watu wetu na waendelee kutoa huduma mbaya kwa wateja TFF iliporuhusu wachezaji 12 kwa...
  13. Parabolic

    DOKEZO Kufurika kwa Wachina Tanzania ni fursa au janga?

    Mjadala wa raia wa kigeni hususani Wachina kufurika katika maeneo ya kibiashara hasa jijini Dar es Salaam, umechukua sura mpya, baada ya Serikali kuanza kuchukua hatua za kuwafuatilia kama wanafuata taratibu za kisheria. Hatua za Serikali zimekuja wakati kukiwa na malalamiko ya kufurika kwa...
  14. Waufukweni

    Waziri Jafo: Mwekezaji hatakiwi kuchoma mahindi mtaani, ni kazi za wazawa

    Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amesema kuwa Mwekezaji hatakiwi kuchoma mahindi mtaani, ni kazi za wazawa "Mtu anakuja kwa lengo la uwekezaji lakini sio sifa ile ya uwekezaji anakuja kufanya zile kazi za wazawa"- Dkt Selemani Jafo - Waziri wa Viwanda na Biashara. Via Clouds FM
  15. Waufukweni

    Waziri Jafo: Ripoti ya Kariakoo kuhusu wawekezaji wageni 'kuna mashaka ya rushwa', wanasaidiwa na watu kwenye mfumo

    Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amesema kuwa tafiti zilizofanywa zimebaini uwepo wa mashaka ya rushwa, hali inayosababishwa na baadhi ya watendaji wasiowaaminifu. Akizungumza kupitia Clouds FM kuhusu suala la Wawekezaji wa Kigeni nchini, Dkt. Jafo alieleza kuwa "Kwa mujibu...
  16. W

    Kuna wafanyabiashara wageni wametumia vibali vya Watanzania kufungua biashara zao

    Baada ya kamati ya Uchunguzi iliyoundwa na Waziri Selemani Jafo Februari 2 mwaka huu uchunguzi umekamilika na imegundulika kuwa kuna Baadhi ya Wafanyabiashara wametumia vibali vya Watanzania kufungua biashara zao na wamechukuliwa hatua. Akipokea ripoti ya Uchunguzi kutoka kwa wajumbe wa kamati...
  17. Mindyou

    Godbless Lema: Sijui kama TISS mnaona. Kunaweza kufumuka mgogoro mkubwa kati ya wafanyabiashara wazawa na wachina siku sio nyingi

    Wakuu, Tunaposema kuwa Wachina ni existential threat tunamaanisha mambo kama haya. I'm very glad hii discussion ya Wachina inaendelea na hata wanasiasa wameanza kugusia. ========================== "Sijui kama TISS mnaona , nina wasiwasi sana na kufumuka mgogoro mkubwa sana kati ya Wachina na...
  18. Mindyou

    Video: Clouds FM wametembea na mjadala niliouanzisha humu jukwaani kuhusiana na Wachina. Wachina wamefikiwa!

    Wakuu, Kama mnakumbuka siku chache nyumba niliweka uzi wangu hapa kuhusu uwepo wa Wachina wengi nchini. Mjadala ulikuwa mkali mkali mno humu na naona Clouds waliona uzi ule wakaamua kwenda nao kwenye chao cha Power Breakfast saa chache baada ya uzi wangu kwenda hewani. Soma pia: Video: Ni...
  19. Mindyou

    Majina ya vigogo waliohusika kutishia wajumbe wa kamati ya Rais Kariakoo kuwasilishwa kwa mamlaka

    Wakuu, Wakuu, Majina ya vigogo waliokuwa wakipiga simu kuwatisha wajumbe wa kamati ya kuchunguza wafanyabiasha wageni hususani Kariakoo yatawasilishwa kwa mamlaka za juu kwa hatua zaidi.
  20. Mindyou

    Waziri Suleiman Jafo aiagiza idara ya uhamiaji kuanza mara moja operesheni maalum ya kuwaondoa wafanyabiashara haramu wa kigeni Kariakoo

    Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Suleiman Jafo, ameagiza kuanza mara moja kwa operesheni maalum ya kuwaondoa wageni wanaofanya biashara kinyume na taratibu katika soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam. Soma pia: Waziri wa Biashara Selemani Jafo aunda kamati kwa ajili ya kuchunguza utitiri wa...
Back
Top Bottom