Awali, vyuo vya afya na tiba shirikishi vya City Colleges vilivo sajiliwa na NACTEVET kutoa kozi za afya kwa ngazi za astashahada na stashada ikiwemo Kigamboni campus, Temeke & Mikwambi csmpus, Mwanza na Arusha Campus, wamiliki wake ni makada wa ccm akiwemo Abubakari Ali(Boka aliyejitokeza...