Kulingana na sheria za dini ya muarabu, mwanamke hapaswi kusikika popote na kwa lolote, yaani akae ndani tu na akitoka ajighubike yale manguo ya muarabu meusi na aandamane na mwanaume, kidogo waarabu wenyewe wameanza kulegeza hizi sheria za kufanya wanawake wawe mazombi, ila hawa jamaa ambao...