vijana wa kitanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ndege JOHN

    Vijana wa kitanzania tunazingua mtu anataka mkopo au scholarship halafu vigezo hajatimiza akikosa anaishia kulalamika

    We mtu umeona tangazo la mkopo linasema kabisa uwe na 1. biashara hata kama ni ndogo yenye TIN 2.uwe na bank account means kwa mtu mwenye akili anakuwa anajua kabisa lazima wanataka wacheki statement hivyo ilipaswa niwe nafanya miamala mara kwa mara hata kama midogo 3.uwe na NIDA means...
  2. M

    Ripoti maalum ya sekta zinazoongoza kwa ufujaji na matumizi mabovu ya pesa za vijana wa Kitanzania

    1)Idara ya uzinzi Ni sekta namba Moja Ambayo ,imeonekana Kuwa na matumizi mabovu mno ya Fedha ,vijana wamekengeuka ,Wanahonga sana michepuko na girlfriends ukilinganisha na bei Elekezi. Kijana anaamua kujilipua kuingia mahusiano yenye gharama kubwa sana kwasababu ya kupagawishwa na shepu na...
  3. Tlaatlaah

    Nini kifanyike kuwanusuru ili vijana wa kitanzania wasirubuniwe kifikra na kufanywa kua mamluki wa mabeberu na kufunzwa ugaidi nchi Jirani?

    Kama mdau wa jukwaa hili muhimu la siasa, unashauri nini kifanyike katika kuwaokoa na kuwanusuru vijana wa kitanzania ambao baadhi yao wamekua waraibu na mateka wa athari za digital sadism contents, ambazo zimewapelekea kurubuniwa kirahisi kifikra na hatimae kufanywa mamluki wa vibaraka wa...
  4. jiwe angavu

    Hizi hapa ndizo sababu hasa zilizopelekea vijana wa kitanzania kuandamana.

    Pamoja na kuteua tume ya mchongo itakayo kuja na majibu ya uongo ili muendelee kuudanganya umma na kujisafisha. Tambueni umma wa sasa sio wa miaka ya uhuru hili mulielewe kabisa na umma wa sasa umewakataa. Baada ya hayo tambueni hizi ndio hoja za msingi za vijana. Kukithiri kwa vitendo vya...
  5. Rungwe88

    Vijana wa kitanzania mlioajiriwa kwenye majeshi, je ni kweli mmekubali kudharirishwa namna hiyo?

    Nazungumza na vijana wakitanzania ambao mmeajiriwa katika majeshi mbalimbali kama JWTZ, Polisi, TISS n.k Hivi ni kweli mmekubali kudharirishwa na huyo mwanasiasa asio na akili hata ya kuongoza?, mmekubali kuona ndugu, jamaa na rafiki zenu watanzania wakipitia haya matatizo ya utekaji, vifo n.k...
  6. uhuruborn

    Anguko la ushawishi na uamuzi wa vijana wa Kitanzania (Gen Z)

    Ndugu zangu Watanzania, Vijana wenzangu, Na Taifa kwa ujumla, Leo nasimama mbele yenu kusema maneno ambayo wengi wanaogopa kuyasema. Maneno ambayo yamekuwa yakizungumzwa mitaani, kwenye mabasi, kwenye mitandao ya kijamii, na hata kwenye vijiwe vya kahawa lakini hayajawahi kusemwa rasmi na kwa...
  7. tonicimmobility

    GE2025 Na hawa ndio vijana wa kiTanzania watakaoandamana Oktoba 29?

    Kanda ya ziwa bado safari ni ndefu, sijui wamepatwa na nini Wananchi wa Buhongwa Wilayani Nyamagana Mkoani Mwanza wakiwa wamejitokeza kwa wingi pembezoni mwa barabara, tayari kwaajili ya kumlaki na kumsikiliza mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya...
  8. M

    Kwanini Vijana wengi wa Kitanzania Wanaona Kujihusisha na Siasa ni kupoteza muda?

    Kwanini Vijana wengi wa Kitanzania Wanaona Kujihusisha na Siasa ni kupoteza muda wakati hii ndiyo ungekuwa nafasi Yao kutengeneza undugu na kuongeza marafiki na kuwasaidia katika kufanikisha swala ajira
  9. Jamii Opportunities

    JWTZ latangaza nafasi za kuandikishwa Jeshini kwa vijana wa Kitanzania

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatangaza nafasi za kuandikishwa Jeshini kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu kuanzia elimu ya Sekondari hadi elimu ya Juu. Aidha, uandikishaji utahusisha vijana wa Kitanzania wenye Taaluma Adimu...
  10. T

    Vijana wa kitanzania hawana tena upeo wa kujadili na kuchambua siasa upeo wao ni kuchambua mipira tu. Tutarajie maafa zaidi

    Nimeona taarifa ya projection ya ukuaji wa kiuchumi wa nchi yetu inaonyesha tunakaribiwa kwa karibu sana na Uganda lkn tukiendelea kuachwa mbali sana na kaka zetu wakenya. Sisi ni mabingwa wa kusifiwa kwamba nchi yetu imetulia kuna amani maandamano hakuna na hata wakati wa corona hatukufunga...
  11. K

    Uaminifu: Tabia inayochukuliwa Poa sana na vijana wa kitanzania

    Leo nimkutana na hiki kisa mshikaji analalamika: Mwanao anakupigia simu ana shida ya HELA anakwambia nitaregesha baada ya siku mbili, kimoyomoyo unasema ngoja nimpe tu mwanangu asovu mambo yake wala hakuna haja ya kunirudishia. Ghafla baada ya siku mbili unampigia mwanao simu kapiga BLOKU afu ww...
  12. L

    Madaktari wa China wasaidia vijana wa Kitanzania kushinda Kifua Kikuu sugu kisichosikia dawa

    “Leo nimeweza kujumuika na watu wengine wa sehemu mbalimbali duniani kuadhimisha Siku ya Kifua Kikuu Duniani, hii yote ni kutokana na hatua ya kuokoa maisha ya kikundi cha 34 cha timu ya madaktari wa China visiwani Zanzibar,” alisema Seif Hassan Mbarouk mgonjwa wa kifua kikuu Zanzibar , huku...
  13. GENTAMYCINE

    Shilole: Vijana wa Kitanzania acheni kunisumbua DM kunitaka Kimapenzi ili niwalee au mlelewe, bali tafuteni Kazi mfanye shauri yenu kuweni makini

    Nimependa sana Shilole hapo alipomalizia na sentensi ya shauri yenu kuweni makini kwani kuna 'Pancha' nyingi zinakuja.
  14. Cobra70

    Nashauri tanzania iingie mkataba wa haraka na congo vijana wa Kitanzania wapate ajira ya haraka

    Ninawaza kwa Sauti ya chini sana nikiwa nakunywa taratibu kiburudisho kisicholewesha. Ni hivi vijana wengi wa Kitanzania wamekuwa na ndoto au matamanio ya kujiunga na jeshi la JW na hivyo kupelekea wengine kushindwa vigezo vya kujiunga na jeshi hilo na wengine kudondokea kwenye mikono ya...
  15. Rorscharch

    Coober Pedy na Somo kwa Vijana wa Kitanzania: Fursa Katika Changamoto za Maisha

    Katika jangwa la kaskazini mwa Australia Kusini, kuna mji mdogo maarufu ulimwenguni kwa uzalishaji wa vito vya opal unaojulikana kama Coober Pedy. Zaidi ya asilimia 70 ya opal zinazoteumiwa duniani hutoka katika mji huu, ambao ulianzishwa mwaka 1915 baada ya wachimbaji kugundua vito hivyo vya...
  16. B

    Ridhiwani Kikwete akutana na Balozi wa Japan, wajadili kuwezesha vijana wa Kitanzania kimafunzo na ujuzi

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amekutana na kuzungumza na Balozi wa Japan nchini Tanzania ambaye pia ni Mwakilishi wa Japan katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Yusushi Misawa pamoja na ujumbe wake alipomtembelea katika...
  17. Uwesutanzania

    Nyimbo kali za vijana wa Kitanzania, vijana ambao hawajapata BAHATI ya kutoboa (underground

    Ni mimi wako UWESUTANZANIA, Leo wacha niwape Fursa vijana wenye vipaji na hawajapata mtu wa kuwashika mkono. Ndugu yangu kama wewe ni msanii chipukizi na unahangaika siku zote, una kipaji cha kuimba na hausikilizwi,. Lete nyimbo yako katika coment ambatanisha na namba yako ya simu. Au hata...
  18. U

    Upinzani wa vijana 2005-2015

    Nimeshawishika kuandika hili baada ya kuona vijana wanafunzi wa sekondari wakikokotwa na walimu wao na kupelekwa kujiandikisha katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Ni jambo zuri vijana kupiga kura, lakini je, walimu wao wanaendelea kuwapa elimu ya uraia vijana hao ikiwemo kuchagua viongozi...
  19. G

    Uzalendo ni kuipenda nchi yako kuliko chama chako, viongozi wako hata kabila na ukoo wako. Bado Tanzania kuna vijana wazalendo?

    Habari watanzania wenzangu Nianze kwa kusema kitu chochote unachokipenda utakilinda ,utakithaminisha na kukitetea kwa gharama kubwa pale unapoona kinaweza kuchukuliwa. Inasemekana baba wa Taifa akiwa mgonjwa Sana akisubiri ndege aende kwenye matibabu uingereza , Alitoa wosia kwamba "waambie...
  20. T

    Mwabukusi: Vijana wa kitanzania wanajua vifungu vyote vya FIFA ila hawana mpango wa kuijua wala kujua mapungufu ya katiba ya nchi yao

    Akiongea kwa uchungu sana wakili mwabukusi amesema inakatusha tamaa kuona vijana wa Tanzania wana uwezo mkubwa wa kustad Sheria zoote za fifa zinazoratibu na kuongoza mpira wa miguu, wakati huohuo wakiwa hawajui chochote kuhusu katiba ya nchi yao. My take Kimsingi kunyimwa elimu ni uchawi...
Back
Top Bottom