vatican

Vatican City ( (listen)), officially the Vatican City State (Italian: Stato della Città del Vaticano; Latin: Status Civitatis Vaticanae), is an independent city-state, microstate and enclave within Rome, Italy. Also known as The Vatican, the state became independent from Italy in 1929 with the Lateran Treaty, and it is a distinct territory under "full ownership, exclusive dominion, and sovereign authority and jurisdiction" of the Holy See, itself a sovereign entity of international law, which maintains the city state's temporal, diplomatic, and spiritual independence. With an area of 49 hectares (121 acres) and a 2019 population of about 453, it is the smallest state in the world both by area and population. As governed by the Holy See, Vatican City State is an ecclesiastical or sacerdotal-monarchical state ruled by the Pope who is the bishop of Rome and head of the Catholic Church. The highest state functionaries are all Catholic clergy of various origins. After the Avignon Papacy (1309–1377) the popes have mainly resided at the Apostolic Palace within what is now Vatican City, although at times residing instead in the Quirinal Palace in Rome or elsewhere. The Vatican is also a metonym for the Holy See.
The Holy See dates back to Early Christianity and is the principal episcopal see of the Catholic Church, which has approximately 1.329 billion baptized Catholics in the world as of 2018 in the Latin Church and 23 Eastern Catholic Churches. The independent state of Vatican City, on the other hand, came into existence on 11 February 1929 by the Lateran Treaty between the Holy See and Italy, which spoke of it as a new creation, not as a vestige of the much larger Papal States (756–1870), which had previously encompassed much of central Italy.
Vatican City contains religious and cultural sites such as St. Peter's Basilica, the Sistine Chapel, and the Vatican Museums. They feature some of the world's most famous paintings and sculptures. The unique economy of Vatican City is supported financially by donations from the faithful, by the sale of postage stamps and souvenirs, fees for admission to museums, and sales of publications. Vatican City has no taxes and items are duty-free.

View More On Wikipedia.org
  1. Chizi Maarifa

    Wadau Kesho naenda Vatican City kumpelekea malalamiko Papa. Kitendo alichofanya Padre kimenikwaza sana

    Padre ananiambia niache uzinzi, anahubiri anasema mimi ni mdhambi sababu nawatolesha Mimba mademu ambao nawagegeda kisha wakipata mimba solution ni moja. Toa. Haya mambo ni kupangiwa na mabeberu wananionea wivu sababu mimi ni kidume cha mbegu. Wanataka waafrika tuwe wachache wao wawe wengi...
  2. H

    Vatican yasisitiza kufanyika kwa uchunguzi huru kufuatia mauaji ya Oktoba 2025

    Kutokana na upotoshaji wa baadhi ya watu kuhusiana na ziara ya Waziri Kombo, huko Vatican; Vatican na Kanisa Katoliki Tanzania kwa kupitia taasisi yake za Kanisa, ya Wasomi wataalam, imetoa ufafanuzi kuepusha upotoshaji: 1. Waziri Kombo alimweleza Papa kuwa Samia ameunda tume kuchunguza matukio...
  3. TODAYS

    Baada ya Hii Picha Tunasubiri, Mseme Jambo!

  4. Common Folk

    Ndani unapambana na TEC, nje unajipendekeza Vatican. Hizi ni akili ama matope!?

    Ni kama kila waziri yuko na mission yake. Kila mtu anajiendea anavyoona inafaa, no organized mission for the same purpose. Yani purpose iliyowapeleka Vatican ni kuhusu matukio ya uchaguzi wa Oktoba 29. Msimamo wa TEC mlipingana nao tena bado mnaendelea kupingana nao kwa kulichafua kanisa...
  5. Z

    Global Religous Scam: VATICAN VS MAKKA — kiwanda cha ujasusi na utapeli duniani

    Wakuu, leo nawapasulia jipu la mwisho. Kama unajua akili yako imeshikiliwa na itikadi, usisome. Hii ni kwa ajili ya binadamu wanaotumia UBONGO kudadisi "The Hidden Truth." 🧠🚫 📍 1. VATICAN: THE WORLD'S OLDEST INTELLIGENCE AGENCY 🇻atican 🕵️‍♂️ Wakatoliki mnadhani mnaongozwa na "Mtakatifu," kumbe...
  6. ngara23

    Uchokozi: vijana wa kiislam kujifanya wakatoliki na kwenda kuleta dharau na dhihaka kwenye ubalozi wa Vatican sio uungwana

    Imethibitika zaidi ya 90 ya waandamanaji kuelekea ubalozi wa Vatican ni waislam na watu wasiokuwa wakatoliki wenye Nia ovu ya kuleta dhihaka, kejeli na dharau Kwa Imani catholic Najaribu tu kuwaza ingekuwaje kama vijana wa kikristo kujifanya waislam na kwenda pale BAKWATA Makao makuu kupinga...
  7. DuaZaMama

    Barua iliyowasilishwa Ubalozi wa Vatican na kundi la 'Wakatoliki' imevuja

    Zaidi ya waumini 100 wa Kanisa Katoliki wamekabidhi Ubalozi wa Vatican nchini Tanzania barua rasmi ya malalamiko kwa Papa dhidi ya Askofu Mkuu wa Dar es Salaam, Jude Thaddeus Ruwa’ichi, na Katibu Mkuu wa TEC, Padri Dkt. Charles Kitima. Kwa Padri Kitima, waumini wanadai amejihusisha na siasa kwa...
  8. Dalton elijah

    ‘Wakatoliki wa mchongo’ wakiwa kwenye foleni ya kuchukua posho baada ya kumaliza IGIZO lao pale Ubalozi wa Vatican

    Kipande cha video ambacho kinaonesha wanaodhaniwa kuwa ni waumini wa kanisa katoliki wakiwa kwenye foleni ya kuchukua fedha. Soma Pia: Waumini 120 wa kanisa 'katoliki' walivalia njuga suala la 'ulofa' na 'wajinga' wasema Ruwa’ichi alitumia madhabahu kuwatukana Ambapo mapema leo Wanaodai kuwa...
  9. THE BIG SHOW

    Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Friends and Our Enemies, Kanisa Katoliki kupitia kiongozi wao Ruwaichi limeingia kwenye vita kali ya maneno na majibizano na waumini wake mara baada ya waumini hao kuandaa maandiko na kuyapeleka VATICAN ambako ni makao makuu ya kanisa hilo kuwashitaki viongozi wa kanisa hilo wa hapa nchini kwa...
  10. Just Pray

    PostGE2025 Padri Kitima: Ninaweza kuuawa hata leo, baada ya taarifa hii

    "Tulifanya kikao hapa tuliwashauri serikali tarehe 30 mwezi wa nne usiku wake ambapo waliamua kuniua mimi, ndiyo tulipitisha yale maazimio na uzuri yamekabidhiwa serikalini mwezi wa nane tarehe 27. Pamoja na kwamba ilikuwa tuyakabidhi siku iliyofuata wakataka kuniua Mungu bariki nikapona, najua...
  11. Madwari Madwari

    PostGE2025 Vatican News: The President of the Tanzanian Bishops’ Conference says Protesters were killed without mercy

    Vatican News Church Tanzanian Bishops’ president: ‘Protesters were killed without mercy’ After weeks of street protests over the recent elections that led to many deaths and injuries, Bishop Wolfgang Pisa, President of the Tanzanian Catholic Bishops’ Conference, expresses grief over the...
  12. Munch wa Annabelle

    Afrika Mungu anatajwa sana kuliko Israel, Vatican na Mecca na hili ndo chanzo cha matatizo yote

    Dar ni automatic sauna Niende kwenye mada, ukija Africa utakutana na jamii ya watu wa ajabu kwelikweli wao kila muda Mungu Mungu tu hawajali jitihada zao na mbinu zao wao wanaamini kila kitu ni mipango ya Mungu tu. Mtu kapata kazi halmashaur anasema Mungu kamsaidia lakini jitihada zake hazip...
  13. Endasak Masqaroda

    Kwanini waende Kanisani au Kuhiji Vatican na mabango?

    Habari wana jukwaa! Huko mitandaoni nimeona habari kuhusu jamaa wa LBTQ kuwa wameruhusiwa na Kanisa Katoliki kuhiji kwa mara ya kwanza huko Vatican. Nimeona pia humu kuna uzi mmoja kuhusu habari hiyo. Kuna watetea kuwa Kanisa linapokea wadhambi wote, i.e wezi, majambazi, makahaba n.k...
  14. M

    Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kanisa Katoliki, hija ya watu wa LGBTQ imejumuishwa rasmi katika ratiba ya Mwaka wa Jubilei wa Kanisa

    Vatican makao makuu ya kanisa katoliki duniani yapokea hija takatifu ya kwanza rasmi ya watu wanaoingiliana kinyume na maumbile. Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kanisa Katoliki, hija ya watu wa LGBTQ imejumuishwa rasmi katika ratiba ya Mwaka wa Jubilei wa Kanisa. Takriban watu 1,400...
  15. Tarishi

    Open Letter to His Holiness Pope Leo XIV at the VATICAN

    Your Holiness, I write with urgency from Tanzania, a land whose history has long stood as a shining example of interfaith harmony. For more than six decades, Christians and Muslims have lived as brothers and sisters, bound not by creed alone but by a shared identity as Tanzanians. It was the...
  16. The redemeer

    Siri nzito za makabati ya Vatican – Ukweli Unaofichwa”

    📘 SOMO LA JICHO LA TATU: #VaticanSecretArchives | #SafariYaUhai | #JichoLaTatu | #TambuaUkweli | #ElimuYaKiroho 🔍 UTANGULIZI: Katika ulimwengu wa dini, mahali panapotajwa kuwa patakatifu zaidi ni Vatican , makao makuu ya Kanisa Katoliki . Lakini ndani ya ukuta huu mtakatifu, kuna eneo...
  17. Inside10

    Papa Leo XIV amteua Padri Monsinyori Romanus Mbena kuwa mkuu wa huduma ya Upendo Vatican

    Baba Mtakatifu Leo XIV amemteuwa mtanzania Monsinyori Romanus Mbena kuwa ni Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Kipapa la Huduma ya Upendo, ambaye hadi kuteuliwa kwake amekuwa akihudumu kama Afisa Mshauri wa Balozi za Vatican ngazi ya kwanza na Mhudumu katika masuala ya jumla kwenye Sekretarieti kuu ya...
  18. Mhaya

    Trump Kuvaa Kama Papa Haikuwa Bahati Mbaya, Marekani Ilikuwa Ishafanya Maamuzi Juu Ya Ujio wa Papa Mpya

    Watu wengi walivurugwa baada ya kuiona picha ya Trump akiwa amejipa upapa. Watu wakaongea weee ila mzee baba alijua tu, this time Marekani inatoa papa. Akaamua kutupa picha, sema na vichwa vyetu vya panzi hatukuelewa. Kutu chochote kiitwacho uchaguzi, Marekani anaweza kuingiza mikono yake...
  19. Stuxnet

    Fuatilia ibada ya uzinduzi wa Pope Leo XIV kutoka Vatican kwa link hii hapa

    https://www.youtube.com/live/jE6G8dBC6Hc?si=9somVYCO5gxYAzyS Waliopo:- Viongozi wa ngazi za juu wa Kanisa Katoliki: Makardinali, Maaskofu, na viongozi wengine wa kidini kutoka sehemu mbalimbali duniani. * Wawakilishi wa serikali mbalimbali: Marais kama VP JD Vance (USA), Zelenskyy (Ukraine)...
  20. and 998 others

    Rais wa Vatican: Papa Leo XIV sasa ni raia wa nchi TATU!

    Baba Mtakatifu Dr Robert Prevost -PhD (Papa Leo XIV) ni raia wa nchi zifuatazo; 1. Marekani (by birth), 2. Peru (by naturalization), 3. Vatican (Rais na Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani). IPO haja na sisi tukubali uraia Pacha kuvuna vipaji vya huko duniani eg Bill Gates, Elon Musk, Mark...
Back
Top Bottom